Haaahaaaa....very trueAjiangalie, mademu hawatoki sayari zingine, tupo nao humu humu mitandaoni, na tena sikuhizi nyuzi za huku zinaibwa kwenda insta basi ni rahisi watu wengi kuona, sasa kabla hajaweka Kojo kwenye sminoff ya mdada atawekewa filter ya cigara na ugolo vijiko viwili ili azime yeye na kuamkia hospitalini.
Na kama ninataka kuruka fenceRaha ya penzi mzungushane kwenye 6×6 bhaana!
Sasa unapiga mtu hata hajitambui ina raha gani sasa?
Labda kama unataka kumkomoa tu.
Hapo sawaNa kama ninataka kuruka fence
Naomba usinifanyie mm puliiiiiiiiz kama hivyoChukua Tishu moja tu ichovye kwenye Glass yenye bia ncha yake or yote uonavyo halafu ikamulie ndani ya hiyo glass then itoe hiyo tishu!..
Lakini kwanini umtoe mtu out kama mfuko haupo njema!?..
Kamkula kwa kumlewesha mtu hajijui si anamkula maiti huyoDuuh. Kweli dunia ina mambo.
Na kwa hali hiyo kabisa waeza kuta mtu anakaa mtaani na kujisifia kwamba kamkula huyo dada. Aiseee.
Hahahaaaa. Na hana tafauti dada.Kamkula kwa kumlewesha mtu hajijui si anamkula maiti huyo
Namsimulia tu trick tulizofanya me leo siwezi 'kukubaka' nataka ujilete mwenyewe ukiwa sober bebe!..Naomba usinifanyie mm puliiiiiiiiz kama hivyo
Namsimulia tu trick tulizofanya me leo siwezi 'kukubaka' nataka ujilete mwenyewe ukiwa sober bebe!..
Ukikataa si kuna wenzio watakusaidia bana.
Hahahaaaa. Na hana tafauti dada.
Si ndo hapo sasa, ila ukienda bar tumia chupa usipendelee glass sawa mama!.. Unless uwe na wenzio!. Unaona watu wanavyotafuta grisi kulegeza oda bar hapa!.Hahahaa na naanzaje kukataa sasa ili nisaidiwe
Si ndo hapo sasa, ila ukienda bar tumia chupa usipendelee glass sawa mama!.. Unless uwe na wenzio!. Unaona watu wanavyotafuta grisi kulegeza oda bar hapa!.
Mie niko poa ndugu yangu kama ujuavyo weekend ndio tunaitumia angalau kulala kale kausingizi ka mchana.Vijana wana shida sana upo poa lakini dada akee
[emoji23][emoji23][emoji23]eti tone la chozi khaaa! Kazi kweli kweli [emoji23][emoji23][emoji23]Kamulia tishu ndani ya glass au dondoshea tone la chozi.