Kitu gani ukikiona unajua sasa umeingia Tanzania?

Kitu gani ukikiona unajua sasa umeingia Tanzania?

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu kwema,

1739859304815.png

Kuna vitu mbalimbali ambavyo vinatambulisha maeneo fulani bila hata ya kuangalia location ya mahali ulipo. Tuvitu vitu ambavyo ni spesho kwa kwenye mji huo.

Ntaanza mimi;
- Vibanda vya chips - Kuna wakati nilitembelea kwa baadhi ya majirani zetu nilishangaa kuona watu hawajui chips mayai wala vibanda vya chips hakuna😅😅, ukiona hivi vibanda na vile vigenge vya nyanya, vitunguu unajua hapa umeingia kwa wabongo.

- Mabango ya mama anaupiga mwingi, mama anatosha, mama mwenye huruma:BearLaugh::BearLaugh::BearLaugh: sura yake imejaa barabarani utafikiri ni huduma inatangazwa kumbe chawa wanafanya kazi yao.

Kwenu wakuu, ukiona nini unajua nimefika kwa wabongo penye uchawa ulipokomaa?
 
K
Wakuu kwema,


Kuna vitu mbalimbali ambavyo vinatambulisha maeneo fulani bila hata ya kuangalia location ya mahali ulipo. Tuvitu vitu ambavyo ni spesho kwa kwenye mji huo.

Ntaanza mimi;
- Vibanda vya chips - Kuna wakati nilitembelea kwa baadhi ya majirani zetu nilishangaa kuona watu hawajui chips mayai wala vibanda vya chips hakuna😅😅, ukiona hivi vibanda na vile vigenge vya nyanya, vitunguu unajua hapa umeingia kwa wabongo.

- Mabango ya mama anaupiga mwingi, mama anatosha, mama mwenye huruma:BearLaugh::BearLaugh::BearLaugh: sura yake imejaa barabarani utafikiri ni huduma inatangazwa kumbe chawa wanafanya kazi yao.

Kwenu wakuu, ukiona nini unajua nimefika kwa wabongo penye uchawa ulipokomaa?
Kiatu kwenye wire za umeme
 
"USITUPE TAKA HAPA" Na ndiyo jalala. Manguo ya kijani na kofia za kijani, mabango ya tunakushukuru mama kwa kujenga hii barabara, mitano tena. Pikipiki zina picha ya mgombea uraisi, waendeshaji wana vizibao vya picha pia, kabla ya kampeni, nimechoka kuandika 🙂
 
Ntajua nmefika bongo nikiwa nmetoka wapi?
 
Ukiona kibao kimeandikwa "huruhusiwi kufanya biashara hapa"then mtu kageuza nguzo hicho kibao Katia mwamvuli anauza vitu vyake kiroho safi Tu!!
 
Ukiwa unatumia usafiri wa Anga kwa wakati wa mchana ukianza kuona Mabati ya nyumba yana tetenas ujuwe kabisa ni bongo Dar-es-salaam,na ramani za makazi ya watu zimakaa kama chatu aliye mawindoni vichochoro kila kona.
Kumbe ulikuwa unazungumzia Daslamu.
 
Mitungi ya Gesi yenye picha ya Rais. Unajiuliza hii nchi ina watu au matope?
 
"USITUPE TAKA HAPA" Na ndiyo jalala. Manguo ya kijani na kofia za kijani, mabango ya tunakushukuru mama kwa kujenga hii barabara, mitano tena. Pikipiki zina picha ya mgombea uraisi, waendeshaji wana vizibao vya picha pia, kabla ya kampeni, nimechoka kuandika 🙂
Hi,how are you doing?
Miss much gal!😘
 
Nikiona mabango ya Mama Kizimkazi najua Hapa nipo Tanzania
Wakuu kwema,


Kuna vitu mbalimbali ambavyo vinatambulisha maeneo fulani bila hata ya kuangalia location ya mahali ulipo. Tuvitu vitu ambavyo ni spesho kwa kwenye mji huo.

Ntaanza mimi;
- Vibanda vya chips - Kuna wakati nilitembelea kwa baadhi ya majirani zetu nilishangaa kuona watu hawajui chips mayai wala vibanda vya chips hakuna😅😅, ukiona hivi vibanda na vile vigenge vya nyanya, vitunguu unajua hapa umeingia kwa wabongo.

- Mabango ya mama anaupiga mwingi, mama anatosha, mama mwenye huruma:BearLaugh::BearLaugh::BearLaugh: sura yake imejaa barabarani utafikiri ni huduma inatangazwa kumbe chawa wanafanya kazi yao.

Kwenu wakuu, ukiona nini unajua nimefika kwa wabongo penye uchawa ulipokomaa?
 
Back
Top Bottom