Kitu gani ulifikiri ni rahisi lakini baada ya kukijaribu ukaona ulikosea kukichukulia poa?

Kitu gani ulifikiri ni rahisi lakini baada ya kukijaribu ukaona ulikosea kukichukulia poa?

1. Kutongoza
###first time unaweza tamani kujicheka

2. Ku-win mkeka
###kanji atengwe

3. Kuhack mtu mwingine
###ni process ngumu balaa

4. Kuishi bila kutegemea watu ###tunategemeana

5. Kufanya meditation
###Kila nikijaribu sifocus au nasinzia
 
Back
Top Bottom