Kitu gani ulifikiri ni rahisi lakini baada ya kukijaribu ukaona ulikosea kukichukulia poa?

1. Kutongoza
###first time unaweza tamani kujicheka

2. Ku-win mkeka
###kanji atengwe

3. Kuhack mtu mwingine
###ni process ngumu balaa

4. Kuishi bila kutegemea watu ###tunategemeana

5. Kufanya meditation
###Kila nikijaribu sifocus au nasinzia
 
Mshangazi umekua mtamu mwishoni kama pepsi ya baridi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…