ππππKumaliza huu mzigoView attachment 3256024
Mi nmedatishwa na avatar kwanza.Wahenga walisema "Usitukane mamba kabla hujauvuka mto" ishawahi kukutokea ukafikiri jambo ni rahisi ila ulivyolijaribu ukaona ugumu wake na ukahangaika nalo.
Wewe, si ulisema kina kibinti kimekuteka, uko inlove. Imekuaje tena?Ku date na mishangazi
Nilijua kuacha hi kitu simple ila nilipoanza kujaribu kuacha ndio nikajiona kumbe mimi sio lolote sio chochote kwa hawa viumbe
Kutamani wamama
Mwanzoni nilikua naona vijana wanaotamani wamama ni hawajiheshimu ila sasa hvi uyo kijana ni mimi na nimejaribu kuacha ila nashindwa yaani kila navojitoa wapi
##mwezi mtukufu huu tuswali sana
Hakuna mwanamke mwenye mood ya kuandika mathreads back to backMkuu Wagumu Tunadumu hataki amini kwamba upo live. Itoshe kumshauri tu apitie nyuzi zako Mshangazi dot com tofauti tofauti ulizo andaa. Pia Aamini katika ujasiri wako wa kuleta mada na kiu cha kushare zoefu na watu jamvini.
#Exposure& sovereignity.
Yaaan dada angu acha tuu..Wewe, si ulisema kina kibinti kimekuteka, uko inlove. Imekuaje tena?
Daah, acha kakunyooshe πYaaan dada angu acha tuu..
Kananipeleka mbio mbio an mbio.mbio sipumziki aiseee πππππππ
Kanajua kunikomoa aiseeeDaah, acha kakunyooshe π