Kitu gani ulikipenda ukiwa Mtoto

Dah! Waalimu wakaua kipaji chako cha urefa.
 
Mi nilikuwa napenda ile mnakusanya mchanga then mnaweka mti juu kisha taratiiibu mnaanza kupunguza mchanga huku mnaimba tule wali tumbakishie baba sasa ole wako uangushe kile kijiti na wakudake kabla hujashika mti wa ukomboz utajuuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…