Kitu gani ulinunua kwa pesa yako ya kwanza kulipwa?

Kitu gani ulinunua kwa pesa yako ya kwanza kulipwa?

monta

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2014
Posts
1,271
Reaction score
1,803
Wakuu ni kitu gani ulinunua kwa pesa yako ya kwanza kulipwa au kupata iwe kwenye ajira rasmi,boom la chuo au pesa uliyoingiza kwenye biashara.

Nakumbuka kipindi naanza chuo mwaka 2014 pale udsm niliingiziwa boom laki 7 kipindi naanza semester ya kwanza first year nikaingia kupatana.com nikakutana na pc hp inauzwa kwa 300k nikaenda kwenye akaunti nikatoa laki 3 nikaenda kununua pc ya jamaa kupatana.Sikuwa na bahati nayo ile pc ilikua mbovu nikaja iuza tena kupatana kwa 200k.

Je pesa yako ya kwanza kuingiza ulinunua kitu gani?
 
Wakuu ni kitu gani ulinunua kwa pesa yako ya kwanza kulipwa au kupata iwe kwenye ajira rasmi,boom la chuo au pesa uliyoingiza kwenye biashara.

Nakumbuka kipindi naanza chuo mwaka 2014 pale udsm niliingiziwa boom laki 7 kipindi naanza semester ya kwanza first year nikaingia kupatana.com nikakutana na pc hp inauzwa kwa 300k nikaenda kwenye akaunti nikatoa laki 3 nikaenda kununua pc ya jamaa kupatana.Sikuwa na bahati nayo ile pc ilikua mbovu nikaja iuza tena kupatana kwa 200k.

Je pesa yako ya kwanza kuingiza ulinunua kitu gani?
Bible
 
Nilikuwa natumia PC ya mtu, nikaja kununua yangu PC kali saana kuliko ile isiyo yangu.

Kila nilipokuwa ndani ya daladala nikawa naitazama kweli ipo? Kuna bar fulani jirani na ninapoishi, nikaingia hapo Bar nikaagiza ugali na Sangara kama sio makange, kisha nikawasha Laptop. Nilifurahi mno hiyo siku.
 
Back
Top Bottom