Designer_3434
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 4,901
- 3,941
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimenuniwa
Wanaume wengine bana
NakaziaHaya mambo ya valentine kwanza yameletwa na ccm
Kaza moyo
Siku yenywe mbayaaaaaaa[emoji38][emoji38]
Alinitambulisha kwa mwanaume wake mpyaHabarini!
Aiseeee leo ni siku nyingine ila sio kama siku zingine hii ni siku maalumu ya watu wapendanao watu walio katika mapenzi acheni yale mapenzi ya Kirafiki au ya kindugu.
Tukiwa tunasubiri zawadi na wengine nahisi washapata tayari nataka tuambizane hapa ni kitu kipi alishakufanyia mpenzi wako katika siku kama ya leo ukajiona we wapekee zaidi kwake?
#HappyValentineDay[emoji3531]
Hivi inakuaje mtu unakosa Mpenzi?[emoji23][emoji23]
Tafta Mnyonge wako na wewe mwaka huu[emoji23][emoji23]aliniambia mimi sijakidhi vigezo vya kuwa mume wake[emoji23][emoji23]
Tulikuwa kwenye matatu tukielekea nyamagana tukanyanduane akaachia ushuzi hadi dereva na abiria wote wakashuka sikuwahi kumuona mpaka na keshoHabarini!
Aiseeee leo ni siku nyingine ila sio kama siku zingine hii ni siku maalumu ya watu wapendanao watu walio katika mapenzi acheni yale mapenzi ya Kirafiki au ya kindugu.
Tukiwa tunasubiri zawadi na wengine nahisi washapata tayari nataka tuambizane hapa ni kitu kipi alishakufanyia mpenzi wako katika siku kama ya leo ukajiona we wapekee zaidi kwake?
#HappyValentineDay[emoji3531]
Yan nataman kama ning’oe moyo[emoji18][emoji18]