stritglow
JF-Expert Member
- Apr 7, 2018
- 622
- 1,750
Kupoteza kitu ni jambo la kawaida. Show me a person ambae hajawahi poteza kitu, and I'll show you a liar.
Lakini kuna vitu vingine mtu unapoteza au ibiwa, ambavyo kwako vilikuwa na thamani kubwa, thamani sio lazima iwe ya kifedha, inaweza tu hicho kitu meant a lot to you in one way or another.
So kitu gani ulishawai poteza/ibiwa ambacho kwako kilikuwa na thamani kubwa
Lakini kuna vitu vingine mtu unapoteza au ibiwa, ambavyo kwako vilikuwa na thamani kubwa, thamani sio lazima iwe ya kifedha, inaweza tu hicho kitu meant a lot to you in one way or another.
So kitu gani ulishawai poteza/ibiwa ambacho kwako kilikuwa na thamani kubwa