Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
- Thread starter
-
- #41
Maneno gani yalikuchekesha siku zile wananihisi mim rayyoungr ,yote hayo ni chuki tu bwana wangu wasubirii sanaa bado nalima lile shamba la G ni kubwa mno kulimaliza sio leoMimi nilicheka sana juzi kati wakati Mama Sabrina akiwapa watu vipande vyao kisa wana mhisi anatumia ID ya....
Ahahahhahaahhata mimi,unaweza ukadhania unaongea na mwanaume kumbe ni mwanamke..
Linafanyaje dushe lakomimi nikijiangaliaga dushe langu nacheka mpaka naweza kuzimia Mama Sabrina
Kipi kilichokuchekesha hapo,halaf jitahidi kuandika vyema au ulikuwa unavuka barabara [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Axee kun day nimeenda mgodin kuchek mali za ding nikapewa nisimamie wakat wanaosh mchang
Palikuwepo na mzee mmoja alikuwa rafik yang na pale jiran palikuwepo bhaa mzenz akaja wamama wazur kunywa Yule mzee akaniomb nimtoe ela na mm nikamtoa Mara paa mam mzur mwenyew akili zake akanunuliwa beer moja na Yule mzee kilichofuat Yule mzee akamuomb mzigo Yule Mama na Mama akamwambia nyonya kwanza tit na mm nitanyonya pennies yako mzee akanyonya nakula mzigo.
Kilichonichekesh Yule mzee ananiambia kwamb yey aliwah lala mtu mwenyew HIV lkn HIV haiuwwazee na akaniambia tang awepo na miak yake sabin hajawah kunyonywa kitu yake bac wag nikikumbuk nacheka
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahahahah eheee kwenye matukio huwa kuna vituko sana sasa hapo kujizuia kucheka ni juhudi kubwaMm jinga sana aisee. Hua nacheka kwenye matukio siriaz.
Hasa kanisani wakati wa matangazo watu wanaongea errors kishenzi.
Eti samahani mwenyekiti "Nina jambo mboja kesho nitacherewa kido, maana niko bide....
Hasa wasukuma wale original utacheka mnoInaburudisha pia aisee..
Napenda kusikiliza error sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] weweee Davinc acha chaiKuna mzee mmoja (True story)
Alikua anapiga adhanaa msikitini alaaaahuuuuu akbaaaaaarr wakati anapiga adhanaa akapita mtu anayemdai hela. Yule mzee akaitaa Raaaashidi (mjukuu wake) njoo umalizie adhanaaa nimemuona yule mtu ninayemdai buku yangu
Labda anajua matango ndio madodoki [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mzee huyo huyo aliyeahirisha adhanaa..
Siku moja kuna mwizi aliiba matango kwenye bustani ya mtoto wake wakamkamata sasa wakamsubiria huyu mzee nae afike amuone mwizi. Alipofika akaanza kumuhoji mwizi..
Hivi wewe kwanini umeiba madodoki?
mwanae akamwambia baba sio madodoki ni matango mzee akasemaa anhaaaaaaa kumbe ni matango sio, akamuuliza tena hivi wewe ulikua na njaa gani hadi unaiba madodoki mwanae akamwambia baba ni matango siio madodoki.
Hali iliendelea hivo mzee yeye anajua mwizi kaiba madodoki ale
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],lakin si inawezekana kuweka au siku hizi wametoa inakuwa inasikika radio tu sio liveNiko tifauti kidogo. Nikiona hili jambo ni la kudharirisha sicheki ingwa nilitakiwa instantly. Mfano alikuja mgeni wale wa kutoka kijijini kbsaa akataka awekewe radio one ktk TV. Hapo tuko sebuleni tumejaa watu wakacheka sana isipikuwa mimi.
AhahahhahahaNgoja nicheke kwanza[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kuna siku moja tulikuwa tunapiga story na washkaji zangu (mmoja kati yao ni msukuma wa kasamwa huko). Tulikuwa tunapiga story kuhusu baadi ya watu wanavyoishi maisha mazuri huku wengine wakiishi maisha magumu. Sasa kuna mmoja akaanza kuzungumzia kuhusu watu kwenda casino, ndipo yule msukuma akasema "hivi casino si linakuwaga la mduara lina mirija watu wanavuta". Tukawa hatujamwelewa. Ikabidi aendelee "si kuna wakati makonda alikataza watu wasitumie" akazidi kutuvuruga. Ikabidi aelezee kupitia video flani ya joti ndo tukajua kuwa alikuwa anazungumzia shisha. Aisee tulicheka sana.
Msukuma huyu wa kasamwa alikuwa anadhani casino ndo shisha. Wasukuma bhan[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Basi hata tulikuwa hatujui ni jinsi gani ya kuweka...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],lakin si inawezekana kuweka au siku hizi wametoa inakuwa inasikika radio tu sio live
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nyumbani walikuwa wanaweka inasikika sauti tu ,walomcheka ndio hawakujua[emoji23][emoji23][emoji23]Basi hata tulikuwa hatujui ni jinsi gani ya kuweka...
HahahahhaaaMajuzi niko Safarini kwenye basi wakaweka Movie ya Bongo Mavi ilikuwa movie moja ya Hemedy inaitwa Figisu Figisu.
Kwenye ile movie kulikuwa na Jini ambaye ni mtoto na alikaa na Hemedy sana sasa siku anamuaga kurudi Baharini akasema "Mimi naondoka ila nitamiss sana Maharage" [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dah nilicheka kusikia jini linamiss maharage.
Wasukuma wamezidi ushamba [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ngoja nicheke kwanza[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kuna siku moja tulikuwa tunapiga story na washkaji zangu (mmoja kati yao ni msukuma wa kasamwa huko). Tulikuwa tunapiga story kuhusu baadi ya watu wanavyoishi maisha mazuri huku wengine wakiishi maisha magumu. Sasa kuna mmoja akaanza kuzungumzia kuhusu watu kwenda casino, ndipo yule msukuma akasema "hivi casino si linakuwaga la mduara lina mirija watu wanavuta". Tukawa hatujamwelewa. Ikabidi aendelee "si kuna wakati makonda alikataza watu wasitumie" akazidi kutuvuruga. Ikabidi aelezee kupitia video flani ya joti ndo tukajua kuwa alikuwa anazungumzia shisha. Aisee tulicheka sana.
Msukuma huyu wa kasamwa alikuwa anadhani casino ndo shisha. Wasukuma bhan[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Au mlikuwa na dishMi nyumbani walikuwa wanaweka inasikika sauti tu ,walomcheka ndio hawakujua[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app