Captain Fire
JF-Expert Member
- Jul 23, 2023
- 2,435
- 5,000
Sawa ila tumia huu mda kutafakari ili uweze kujiunga kwenye hili chama la wana na wazee wa kataa ndoa dronedrakeπππππππππ Kaka kaka inatosha nipo mahali ambako kucheka kwa sauti ni ngumu ndgu yangu
Huku gharama ni nafuu sana alafu una wala hadi masta wa mambele huko fikiria leo nimemla nickminaj kimasihara ππππHapana hapana naogopa kaka πππππππ
Itakua kujichua[emoji23]Yangu hadi naona aibu kuiandika[emoji35]
Wine magoli sana sema haina povu alafu huwezi piga gudugudu ina unywaji wake fulani hivi π
π€£π€£π€£π€£hamna mi mwenyewe kitambo san yan machale kama yote,wine ni classic hata glass unapewa classic,nilitimba pale G7 kifuru nikaagiza drosdty hof nikapewa kwenye zile glass ndefu hivi nikagonga mdogomdogo,hata kama ni mshamba ila nilii-enjoy,ntakuja siku nyingine hapo daslama...ila mazee hela nzuri...japokuwa haiwezi kukupa kila kitu, uhai na Nini,ila hela ni muhimu tuwe nayo no matter what...!!!Ungegusa tuu... Dadek zake.πππππππππππ
Sa hvi ungekua unasema mengine
PINGU
Hiyo ni iron deficiency inakufanya unacrave vitu Kama hivyo mchele,udongo na vitakataka vingine.kunywa dose ya FeFo, au nenda hospital kwa ushauri zaidi.Kingine.
On a very serious note.
Nimeshindwa kuacha kutafuna mcheleβ¦. Nishatishiwa sana kwamba nitakuja kupata appendex, ila sijawahi kusikia.
ππ kuna mchele unaitwa Korie ni mlaini, basi naweza tafuna mwingiii.
Nikajikataza kuununua. Nikahamia magugu rice, wenyewe ni mgumu kutafuna mpk uloweke.
Natokaje? π
Pole sana. Niambie mimi basi "Inbox" huenda nikawa msaada au nikakupa ushauri mahali pa kupata msaada.Yangu hadi naona aibu kuiandikaπ‘
Ukweli ni kwamba unachokiwaza ni hisia zako lakini sio uhalisiaHaya matakataka ni kuyamwagia petrol kisha kuyawasha moto.
Hapana mi siwezi mkuu πππππSawa ila tumia huu mda kutafakari ili uweze kujiunga kwenye hili chama la wana na wazee wa kataa ndoa dronedrake
Basi hongera. Wengi wa Wanaopenda kujiangalia mara kwa mara kwenye vioo ni warembo!Jamani nimeshindwa kuacha, napenda kujiangalia kwenye kioo...
Sema bhana Hannah au mpaka tukupe mji πSi ni bora mninyonge tu kuliko nikaandika hiyo kituππ
Hizi akili hizi. πππππππππHuku gharama ni nafuu sana alafu una wala hadi masta wa mambele huko fikiria leo nimemla nickminaj kimasihara ππππ
Acha leo pepo chafu hilo πππππKuangalia xxx hasa za kiafrica au conection za tz aise sijui lini ntaacha
Sent using Jamii Forums mobile app
Ucaptain upo pale pale ila kuna mda huduma ikiwa mbali unajisave mwenyeweHizi akili hizi. πππππππππ
Captain wa hovyo wewe kwa namna hiyo captain kuja kukaa na mtu ni ngumu sana maana raha unajipa mwenyewe πππ
Itakuwa mzee wa tango na kipepsiItakua kujichua[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena mie nafanya na mapozi, mara nakaa style za sex, yaan full tafrani.Jamani nimeshindwa kuacha, napenda kujiangalia kwenye kioo...
Mbona ishafahamika hadi hapo..Yangu hadi naona aibu kuiandikaπ‘
Sheeenziiii kabisa πππππUcaptain upo pale pale ila kuna mda huduma ikiwa mbali unajisave mwenyewe