Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 9,679
- 39,087
Unaona sasa wewe si umetoka kuniambia niseme utanisaidia?Kama ndo hiyo ..
Hovyo kabisa ππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaona sasa wewe si umetoka kuniambia niseme utanisaidia?Kama ndo hiyo ..
Hovyo kabisa ππππππ
Taja yako kwanza acha kuzijua za watuHabari zenu,
Huu ni uzi maalumu kwa watu ambao wanatamani kuacha kufanya jambo fulani lakini imekuwa ngumu kwao.
Funguka hapa huenda ukapata msaada na ukaweza kuyashinda yanayokutatiza.
Uhakika sema unajitoa kafara tyuWeeeee labda sio jf hii. Huu mtandao ni wa kuishi nao kwa tahadhariπ
Nakusamehe huku nakupotezea π€£Samehe 7Γ70 πππ
ππππππππ Manaogopa too much sasa....Weeeee labda sio jf hii. Huu mtandao ni wa kuishi nao kwa tahadhariπ
Hapana, hakuna kuandika.Hiyo hiyooππ. Sasa hata kama ni wewe ungeandika?
Umeongea umpuuz ganj nilkuwa nakuheshimu kumbe wee Ni shoga pumbafu sanaBangi na mapenzi ya jinsia moja.(kuzagamua mashoga)
ππππ mascreenshot kama yote.ππ unaweza shtuka pimbi imeleta reference na hapo tushafika 2045
Hiyo haitakiwi.... Life too short we samehe mambo mengine yaendelee aibu aoene mwenyewe ππππNakusamehe huku nakupotezea π€£
Upimbi ni mwingi humu.ππππ mascreenshot kama yote.
Wewe na mimi tunawaza hilo hilo ππππππUmeongea umpuuz ganj nilkuwa nakuheshimu kumbe wee Ni shoga pumbafu sana
Nikiwa nakuona nakumbuka ulichofanyaHiyo haitakiwi.... Life too short we samehe mambo mengine yaendelee aibu aoene mwenyewe ππππ
Acha pombe, baki na winePombe
Ahh hapana aiseeUhakika sema unajitoa kafara tyu
andika tu tutasoma kimya kimyaYangu hadi naona aibu kuiandikaπ‘