Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
Inaamsha nyege mno.πππ haina mapovu na ni tamu
Pombe zina mapovu na pia chungu
Achaneni na pombe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaamsha nyege mno.πππ haina mapovu na ni tamu
Pombe zina mapovu na pia chungu
Ukitoka hapo maupwiru kama yote mtoto Depal ππ€€πNashindwa kuacha kunywa wineβ¦ naweza pumzika mwezi 1/2/3 , ila ghafla tu natupia chupa 2 nzima.
ππππππππππππππππππππ Mbeya ushirika ndani ndani mkuu.. kamba kazi yake nini mkuuu tuanzie hapo πππππKuna mzigo huo unaitwa pingu niliukuta mbeya vijijini(mbalizi)...yan huo nilicheka almanusura nife
Ukipata wasaa mkuu,tembelea mbeya vijijini kwenye vilabu...we mwambie mama muuza "nipe PINGU",kabla ya yombe atakuletea kamba mbili,yeye mwenyewe atakupa muongozo...hizi pombe hizii...!!!
Ukishindwa ku comment uraibu unapunguaShida siyo ban.
Bado nitatembelea kama Guests. Wakiban IP address ya simu, nina Laptop.
Addiction yake iondoke akilini mwangu kabisa.
Hapana aisee. JF ina umbea umbea fulani amazing. Ina mabishano yanayofikirisha. Ina upuuzi wa kipuuzi usiokwepeka..Dr na mii naombea sana hiyo addiction ibaki tuu kwako...
Bado una hitajika humu ππππ
Kwa hyo mwanangu unachezea tope kama kambale,, acha mapema laana hizo nduguSio kweli mkuu,wewe ni nan na una nini?
Mtoa mada amesema tuseme ukweli ili tusaidiwe wewe unaleta majuaji ya kifala ubani wena?
Nikitoka hapo ni usingizi mtamu sanaUkitoka hapo maupwiru kama yote mtoto Depal ππ€€π
Inaitwa Milo... na sijui kama zipo tena sokoni na nchini siku hizipamoja na cocoa ile yenye sukari. dah. Naamini nikija kuwa na familia ntaach nsije kuwa mzee wa hovyo.
Sasa mchele mbichi na wine si inakuwa pilau huko tumboni?Bora niache hata kunywa fav drink kuliko kusema π€£π€£
Mchele si natafuna tafuna maybe nikiwa napika.Sasa mchele mbichi na wine si inakuwa pilau huko tumboni?
ππππππ Bado sana mda wa kutoka... Maana kuna rika flan ambalo linategemea maoni na mawazo kutoka kwako hivo wee ni kujiepusha na hayo majukwaa unayoona yana mambo ya ajabu DrHapana aisee. JF ina umbea umbea fulani amazing. Ina mabishano yanayofikirisha. Ina upuuzi wa kipuuzi usiokwepeka..
Sasa utu uzima hauhitaji tena umbea. Hauhitaji tena upuuzi. Ndo ile unakuwa mtu mzimaa wanakuita mzee mpuuzi. Aaaghhh qumamae
Niamini sweetheart.Ujue sijawahi kukuamini ππ
Chali ya Chuga kuacha ya Olkokola ni ngumu.I feel you.Cannabis smoking
Kwa lugha ya kigeni unaweza kusema kitu cha maana vile..πππππCannabis smoking
Unaukaribisha umasikini! Ukiwa unajidanganya na kujifariji siku moja utatoboa.Kubet. Kukaa bila mkeka siwezi kabisa.