Kitu gani unachokumbuka ambacho mama yako alikuonya ukiwa mtoto na mpaka leo hukisahau?

Mom alinifundisha kusali kabla na baada ya kula na kabla na baada ya kuamka....

Ndio Urithi pekee ninao ukumbuka kwake
Hatukuishi nae muda mrefu walitengana na baba tukiwa wadogo hatujaanza shule
So tukaishi na Mama mlezi
Dah...Mama alifariki ila still naliona tabasamu lake...pia na kumbuka alivyokua Ana litamka jina langu.
 
Dah...alinisisitiza sana nisivae shati moja kwa Siku mbili .....[emoji41]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…