FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Nipe hata nduguyo nipo tayari kusilimu
Watu hawasilimu kwa kuoa.
Salim kwa maana ya kusilimu, kujisalimisha kwa Mola wako aliyekuumba siyo kwa Paulo, Siyo kwa Yesu Alayhi Salaam, Siyo kwa Muhammad sala Allahu Alayhi Wasalam.