Kitu kikubwa kinakuja kwenye semiconductor toka kwa Huawei, ASML na TSMC wakae tayari

Kitu kikubwa kinakuja kwenye semiconductor toka kwa Huawei, ASML na TSMC wakae tayari

Mi mi

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2024
Posts
2,748
Reaction score
5,112
Huawei wanakuja na surprise package kwenye upande wa semiconductor kwa kuja na mashine yao ya EUV.

Hii kitu inaenda kuua monopoly ya ASML na TSMC. Taiwan, Netherlands na U.S.A wanaenda kupata upinzani mpya.

Inaweza kuwa mwaka huu 2025 au mwakani 2026 Huawei wakawa katika hatua za mwisho mwisho za ukamilishaji wa EUV

Deepseek moment inaweza kwenda kutokea katika makampuni ya chips ya magharibi

Sina shaka na Huawei kabisa kwa makampuni ya kichina ni moja ya kampuni bora kabisa la kiteknolojia China na duniani wala haikuwa bahati mbaya kuwekewa vikwazo na marekani na baadhi ya mataifa ya magharibi.


 
Kumbe mnafanya ambacho wengne wameshafanya miaka mingi na wanaendelea kula matunda tu mi nilidhan kuna jipya china analo kumbe anafanya au anajaribu kukimbzana na vitu ambavyo wengne tyr wanavyo sa kwa akili kisoda ulizonazo unadhan hao uliowataja kwmb watakumbana na upnzani unafkiri wao wamelala eti hiyo deepseek mbona ni utumbo tu copy ya tech ya marekani tena imetengenezwa kwa ubora wa chini sn ni local fulani hivi.
 
Kumbe mnafanya ambacho wengne wameshafanya miaka mingi na wanaendelea kula matunda tu mi nilidhan kuna jipya china analo kumbe anafanya au anajaribu kukimbzana na vitu ambavyo wengne tyr wanavyo sa kwa akili kisoda ulizonazo unadhan hao uliowataja kwmb watakumbana na upnzani unafkiri wao wamelala eti hiyo deepseek mbona ni utumbo tu copy ya tech ya marekani tena imetengenezwa kwa ubora wa chini sn ni local fulani hivi.
wewe hapo ulipo umefanya nini na taifa lako limefanya kipi
 
Baada ya Marekani kuifanyia figisu kampuni ya Huawei mwaka 2018 haya ndiyo aliyosema CEO wa Huawei

If you don't sell your product to a company, you are actually forcing it to make a similar product one day, and you will not be able to sell your product any longer.”
– Ren Zhengfei (Huawei CEO)
 
Kumbe mnafanya ambacho wengne wameshafanya miaka mingi na wanaendelea kula matunda tu mi nilidhan kuna jipya china analo kumbe anafanya au anajaribu kukimbzana na vitu ambavyo wengne tyr wanavyo sa kwa akili kisoda ulizonazo unadhan hao uliowataja kwmb watakumbana na upnzani unafkiri wao wamelala eti hiyo deepseek mbona ni utumbo tu copy ya tech ya marekani tena imetengenezwa kwa ubora wa chini sn ni local fulani hivi.
Tuko dunia ya innovation, haya mambo yamekuzidi uelewa
 
Hao wapiga chabo wanatengeneza nini ambacho wengine hawajatengeneza.
 
Hao wapiga chabo wanatengeneza nini ambacho wengine hawajatengeneza.
Wewe na watu wako mmetengeneza nini kuwazidi wapiga chabo ukiondoa umalaya,ujinga,usimba&uyanga na uccm ?
 
wewe hapo ulipo umefanya nini na taifa lako limefanya kipi
nenda kawaulize maccm zaid ya miaka 60 ya uhuru bado tunaongelea shda ya maji, matundu ya vyoo, madawati, madarasa nk fedha nyng znaishia kwny anasa za mav8 na kujilimbkzia mali. Mimi bnafs skusanyi kodi siyo kiongoz bt ninawajibka kwa family yng kama baba, kiongozi, mume kuhakiksha family inapata basic needs bila shda. Nadhan nimekujbu vema
 
Screenshot_20250309-102846_Instagram.jpg
 
Wewe na watu wako mmetengeneza nini kuwazidi wapiga chabo ukiondoa umalaya,ujinga,usimba&uyanga na uccm ?
kwan wewe ni mchina? Kama ni mchina ustuletee upuuzi humu hzo propaganda nenda uwapelekee wamarekani nenda kawatambie huko, pili hcho ulichomuliza huyo unataka afanye nn ikiwa wakusanya kodi hawawajibiki zaid ya kuwatukuza wachina washenzi.
 
Kumbe mnafanya ambacho wengne wameshafanya miaka mingi na wanaendelea kula matunda tu mi nilidhan kuna jipya china analo kumbe anafanya au anajaribu kukimbzana na vitu ambavyo wengne tyr wanavyo sa kwa akili kisoda ulizonazo unadhan hao uliowataja kwmb watakumbana na upnzani unafkiri wao wamelala eti hiyo deepseek mbona ni utumbo tu copy ya tech ya marekani tena imetengenezwa kwa ubora wa chini sn ni local fulani hivi.
Bro katika hii Dunia, nothing new, just Innovations!!
 
kwan wewe ni mchina? Kama ni mchina ustuletee upuuzi humu hzo propaganda nenda uwapelekee wamarekani nenda kawatambie huko, pili hcho ulichomuliza huyo unataka afanye nn ikiwa wakusanya kodi hawawajibiki zaid ya kuwatukuza wachina washenzi.
Unahangaika dogo una washwa washwa una force nikujibu.

Hakuna mahali nimekutagg katika huu uzi punguza ujinga na utoto.
 
Kumbe mnafanya ambacho wengne wameshafanya miaka mingi na wanaendelea kula matunda tu mi nilidhan kuna jipya china analo kumbe anafanya au anajaribu kukimbzana na vitu ambavyo wengne tyr wanavyo sa kwa akili kisoda ulizonazo unadhan hao uliowataja kwmb watakumbana na upnzani unafkiri wao wamelala eti hiyo deepseek mbona ni utumbo tu copy ya tech ya marekani tena imetengenezwa kwa ubora wa chini sn ni local fulani hivi.
Wivu ni mbaya Kila unachoona ni maboresho ya kilichokuwepo,wangine wakijaribu nao wapongezwe.
 
Unahangaika dogo una washwa washwa una force nikujibu.

Hakuna mahali nimekutagg katika huu uzi punguza ujinga na utoto.
fala ww kwan unapoweka thread jf unaweka kwaajili ya nani na nani au wengne waliokujbu umewatag? Kama hujawatag na wamekujbu kosa langu n lipi ikiwa nimejbu tu kama wengne walivyokujbu, pili aliyekwambia mi naforce unijbu n nani? Unajtafutia umaarufu au siyo yan utumbo unaowekaga humu wa kusfia china na kuwatweza marekani ulitaka kila mtu akusfie au siyo unasahau china anapambana na marekan kwny tech kwa kupga copy za vitu vya marekani kwa kila ktu mpk siraha za kvita wanacopy toka marekani halafu yanakuwa malonyalonya wanayauza bei ndogo halafu unakuja humu unajmwambafai china china ukiangalia china kafanya unakuta ni ktu ambacho marekan amefanya miaka 30 nyuma mchina ndo anajtutumua kujaribu naye kutengeneza fala wewe.
 
Bro katika hii Dunia, nothing new, just Innovations!!
kwamba hzo research wanazofanya wamarekani waktumia dola za kutosha wanafanya ktu ambacho kpo au siyo? Kwmb ndege vita za stealth zlikuwepo mwaka gn dunian kabla ya marekan kuztengeneza ambazo aliztoa miaka ya 80 huko mchina naye amejtutumua anajaribu tengeneza na urusi wake. Kwamba AI tech ilikuwepo miaka ya 90 au siyo ila hii ya sasa ni copy tu unaumwa nn.
 
Wivu ni mbaya Kila unachoona ni maboresho ya kilichokuwepo,wangine wakijaribu nao wapongezwe.
kwamba mchina anaboresha nn kwny kupga copy vitu vya mmarekani npe mfano hata ktu kimoja ambacho mchina ameboresha baada ya ku copy tech ya marekani kama ni deepseek ni takataka kbs haiwez isogelea chtgp ya marekani n mbingu na ardhi.
 
kwamba mchina anaboresha nn kwny kupga copy vitu vya mmarekani npe mfano hata ktu kimoja ambacho mchina ameboresha baada ya ku copy tech ya marekani kama ni deepseek ni takataka kbs haiwez isogelea chtgp ya marekani n mbingu na ardhi.
Watu kama wewe walikuwepo wapo na watazidi kuwepo,hakuna ambae hajamuiga mwenzie humu duniani.Habari ya dunia ni kwamba china ni taifa kubwa na linaendelea kuwa kubwa.Hata hao America kuna vitu waliiga pahali wakaviboresha.
 
Back
Top Bottom