Mi mi
JF-Expert Member
- Jul 14, 2024
- 2,748
- 5,112
- Thread starter
- #21
Watu kama wewe walikuwepo wapo na watazidi kuwepo,hakuna ambae hajamuiga mwenzie humu duniani.Habari ya dunia ni kwamba china ni taifa kubwa na linaendelea kuwa kubwa.Hata hao America kuna vitu waliiga pahali wakaviboresha.
