china taifa ni nani kasema ni dogo? Na ukubwa kwny nn sasa fafanua maana china anaizd marekan labda kwa uwingi wa watu tu tena watu wenyewe hawana uwezo hata wa kununua bidhaa za taifa lao wako bil 4 wkt huo marekani ni mil 400 na ushee cha ajabu bidhaa za china znapata soko marekani kuliko china yan china uchumi wake kibiashara soko anaitegemea marekani yny watu wachache karibu mara kumi ya china, unaposema marekan amecopy baadhi ya vitu nitajie hata kimoja alichocopy toka china.Watu kama wewe walikuwepo wapo na watazidi kuwepo,hakuna ambae hajamuiga mwenzie humu duniani.Habari ya dunia ni kwamba china ni taifa kubwa na linaendelea kuwa kubwa.Hata hao America kuna vitu waliiga pahali wakaviboresha.
Waliiga wapi na mahali ndio nchi gani hiyo. China hawana lolote ni wapiga chabo tu hao ni mabingwa wa kutengeneza bidhaa feki.Watu kama wewe walikuwepo wapo na watazidi kuwepo,hakuna ambae hajamuiga mwenzie humu duniani.Habari ya dunia ni kwamba china ni taifa kubwa na linaendelea kuwa kubwa.Hata hao America kuna vitu waliiga pahali wakaviboresha.
Rudi Shule Aisee Kasome Current China Population 🇨🇳china taifa ni nani kasema ni dogo? Na ukubwa kwny nn sasa fafanua maana china anaizd marekan labda kwa uwingi wa watu tu tena watu wenyewe hawana uwezo hata wa kununua bidhaa za taifa lao wako bil 4 wkt huo marekani ni mil 400 na ushee cha ajabu bidhaa za china znapata soko marekani kuliko china yan china uchumi wake kibiashara soko anaitegemea marekani yny watu wachache karibu mara kumi ya china, unaposema marekan amecopy baadhi ya vitu nitajie hata kimoja alichocopy toka china.
Rudi Shule Aisee Kasome Current China Population
hawa chines hawako busy na vita kama USA, wako busy na cutting edge technology, soon itakuwa ni super powerXi Jinping na wakomunisti wenzangu niwatakie KAZI njema,
Kumnyima usingizi kaka mkubwa,si jambo dogo.
2025 Chines wako 1.4 billion VS USA 347 million (1/4 ya China)Rudi Shule Aisee Kasome Current China Population 🇨🇳
Kama tuu Idadi ya Wachina ni ya Uongo Basi hata Unachokiongea ni Uongo 100%
Mkuu wasiwasi wa mzungu unakuja kwamba hicho mzungu anachokizalisha kwa gharama kubwa na kulazimika kuuza kwa gharama kubwa Mchina anakizalisha kwa gharama nafuu hivyo kukiuza kwa gharama nafuu pia. Kwahiyo kama vyote cha mzungu na cha mchina vina ubora sawa ila vinatofautiana bei soko linaamua. Ndo wasiwasi wa Marekani na West wote.Kumbe mnafanya ambacho wengne wameshafanya miaka mingi na wanaendelea kula matunda tu mi nilidhan kuna jipya china analo kumbe anafanya au anajaribu kukimbzana na vitu ambavyo wengne tyr wanavyo sa kwa akili kisoda ulizonazo unadhan hao uliowataja kwmb watakumbana na upnzani unafkiri wao wamelala eti hiyo deepseek mbona ni utumbo tu copy ya tech ya marekani tena imetengenezwa kwa ubora wa chini sn ni local fulani hivi.
jamaa una vituko kwmb bidhaa za china zna ubora sawa na za kutoka magharibi na za wachina ni bei cheap aahaahaaah pro china mna vituko.Mkuu wasiwasi wa mzungu unakuja kwamba hicho mzungu anachokizalisha kwa gharama kubwa na kulazimika kuuza kwa gharama kubwa Mchina anakizalisha kwa gharama nafuu hivyo kukiuza kwa gharama nafuu pia. Kwahiyo kama vyote cha mzungu na cha mchina vina ubora sawa ila vinatofautiana bei soko linaamua. Ndo wasiwasi wa Marekani na West wote.
.ni kweli China ni kiwanda cha Dunia, magharibi USA included wanategemea Chinajamaa una vituko kwmb bidhaa za china zna ubora sawa na za kutoka magharibi na za wachina ni bei cheap aahaahaaah pro china mna vituko.
ww ndo upo kwenye zama za giza amka dunia imeshaabadilika mda sanajamaa una vituko kwmb bidhaa za china zna ubora sawa na za kutoka magharibi na za wachina ni bei cheap aahaahaaah pro china mna vituko.