1. Kuna watu hawawajali wapenzi kwa sababu wapo, thamani ya mpenzi ni pale utakapo mpoteza;
2. Kuna wanawake wenye bikira wanatafuta wakuzitoa, utaitamani lakini haitarudi
3. Kuna wanaume wanapenda nyumba ndogo kwa sababu tuu wake zao wapo, subiri siku utakayo kimbiwa hata na huyo nyumba ndogo;
Tuwathamini wenzetu kama mungu anavyo tuthamini. TUWAPENDE HATA KAMA HAWANA VILE TUNAVYO TAKA, HAKUNA ALIYE MKAMILIFU
Nobody notice what u do, until u don't do it. Hata ww ukiondoka JF ndo tutajua umuhimu wako
And that is what I try to express with my signature...Wengine hatupendi kubahatisha... Ukiwa na Kitu unakithamini ipasavo.... To the extent kisipokuwepo unaona I did my best sasa let it go!
mkwe hapo najua, unapaweza. thats why i have put much trust to your daughter.
And that is what I try to express with my signature...
Hii siku kuu mkwe umeniandalia nini? (my daughter is growing beautiful everyday... I am having second thots aiseee lol):A S-coffee: