Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,206
- 18,549
1. Kuna watu hawawajali wapenzi kwa sababu wapo, thamani ya mpenzi ni pale utakapo mpoteza;
2. Kuna wanawake wenye bikira wanatafuta wakuzitoa, utaitamani lakini haitarudi
3. Kuna wanaume wanapenda nyumba ndogo kwa sababu tuu wake zao wapo na hawataki kujua thamanai yao.
Tuwathamini wenzetu kama mungu anavyo tuthamini. TUWAPENDE HATA KAMA HAWANA VILE TUNAVYO TAKA, HAKUNA ALIYE MKAMILIFU
2. Kuna wanawake wenye bikira wanatafuta wakuzitoa, utaitamani lakini haitarudi
3. Kuna wanaume wanapenda nyumba ndogo kwa sababu tuu wake zao wapo na hawataki kujua thamanai yao.
Tuwathamini wenzetu kama mungu anavyo tuthamini. TUWAPENDE HATA KAMA HAWANA VILE TUNAVYO TAKA, HAKUNA ALIYE MKAMILIFU