Kitu kipi kinawazuia wabunge kuwa na maamuzi ya kutosha kuhusu yanayotokea kwenye majimbo yao?

Kitu kipi kinawazuia wabunge kuwa na maamuzi ya kutosha kuhusu yanayotokea kwenye majimbo yao?

DaudiAiko

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2012
Posts
372
Reaction score
310
Wanabodi,

Katika kipindi hiki ambacho bajeti imeanza kujadiliwa bungeni, ni vyema kutathmini majukumu ya serikali katika kuwaletea wananchi maendeleo na jinsi ambavyo wanasiasa wanahusika katika mabadiliko yoyote yanayofanyika nchini.

Nime bahatika kuangalia mikutano ya hivi karibuni ambapo wabunge wamekuwa wakijadili mambo mbalimbali na mawaziri. Majadiliano hayo yaliishia hatua ambayo wabunge walihoji mara kwa mara kuhusu mipango ya "Serikali" kukamilisha miradi mbali mbali kwenye majimbo yao. Kwa wabunge wote wa Tanzania, nani ni "Serikali?". Kama wawakilishi wa wananchi bungeni, jambo lipi linawazuia wao kuwa na maamuzi ya kutosha ya kuwawezesha kutatua changamoto zinazojitokeza kwenye majimbo yao?

Katika kutathmini majukumu ya serikali, Je wizara zimezidiwa? Kama kweli zimezidiwa, inawezekana kwamba watu wa juu tu ndio wanahusika zaidi katika kuhakikisha kwamba miradi inafanyika ipasavyo na cha muhimu zaidi kuliko vyote ni usimamizi wa fedha. Uaminifu wa kutosha ni muhimu katika kuhakikisha kwamba majukumu ya serikali yana gawanywa kwa wahusika wote kulingana na ngazi ya uongozi.
 
Katiba yetu inaipa serikali(Executive)mamlaka makubwa sana juu ya Bunge ndio maana bunge linabaki kuiomba na kuishauri serikali badala kuipangia na kuitaka ifanye.
 
Wanabodi,

Katika kipindi hiki ambacho bajeti imeanza kujadiliwa bungeni, ni vyema kutathmini majukumu ya serikali katika kuwaletea wananchi maendeleo na jinsi ambavyo wanasiasa wanahusika katika mabadiliko yoyote yanayofanyika nchini.

Nime bahatika kuangalia mikutano ya hivi karibuni ambapo wabunge wamekuwa wakijadili mambo mbalimbali na mawaziri. Majadiliano hayo yaliishia hatua ambayo wabunge walihoji mara kwa mara kuhusu mipango ya "Serikali" kukamilisha miradi mbali mbali kwenye majimbo yao. Kwa wabunge wote wa Tanzania, nani ni "Serikali?". Kama wawakilishi wa wananchi bungeni, jambo lipi linawazuia wao kuwa na maamuzi ya kutosha ya kuwawezesha kutatua changamoto zinazojitokeza kwenye majimbo yao?

Katika kutathmini majukumu ya serikali, Je wizara zimezidiwa? Kama kweli zimezidiwa, inawezekana kwamba watu wa juu tu ndio wanahusika zaidi katika kuhakikisha kwamba miradi inafanyika ipasavyo na cha muhimu zaidi kuliko vyote ni usimamizi wa fedha. Uaminifu wa kutosha ni muhimu katika kuhakikisha kwamba majukumu ya serikali yana gawanywa kwa wahusika wote kulingana na ngazi ya uongozi.
Mbona unabwabwaja badala uje maelezo yanayojitosheleza kuliko kuja na maelezo ya jumla jumla?

Hilo Bunge unaangalia peke yako? Mbona hao wabunge wanamshukuru sana Serikali na Rais kwa kumwaga mapesa kuliko Rais mwingine yeyote?

Hoja kubwa za kujibu Serikali ni Bei za mafuta ya petrol na diesel.
 
Wanabodi,

Katika kipindi hiki ambacho bajeti imeanza kujadiliwa bungeni, ni vyema kutathmini majukumu ya serikali katika kuwaletea wananchi maendeleo na jinsi ambavyo wanasiasa wanahusika katika mabadiliko yoyote yanayofanyika nchini.

Nime bahatika kuangalia mikutano ya hivi karibuni ambapo wabunge wamekuwa wakijadili mambo mbalimbali na mawaziri. Majadiliano hayo yaliishia hatua ambayo wabunge walihoji mara kwa mara kuhusu mipango ya "Serikali" kukamilisha miradi mbali mbali kwenye majimbo yao. Kwa wabunge wote wa Tanzania, nani ni "Serikali?". Kama wawakilishi wa wananchi bungeni, jambo lipi linawazuia wao kuwa na maamuzi ya kutosha ya kuwawezesha kutatua changamoto zinazojitokeza kwenye majimbo yao?

Katika kutathmini majukumu ya serikali, Je wizara zimezidiwa? Kama kweli zimezidiwa, inawezekana kwamba watu wa juu tu ndio wanahusika zaidi katika kuhakikisha kwamba miradi inafanyika ipasavyo na cha muhimu zaidi kuliko vyote ni usimamizi wa fedha. Uaminifu wa kutosha ni muhimu katika kuhakikisha kwamba majukumu ya serikali yana gawanywa kwa wahusika wote kulingana na ngazi ya uongozi.
Hawana habari. Wakati wanasingizia wenzao kesi mbaya na wengine kukata masikio wanakampeni machachari wewe ulikuwepo?

Sasa hivi its none of bussness. Kazi yao walifanya wakati wa kupita bila kupingwa.

Kwa sasa kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake.
 
Back
Top Bottom