Kitu kizito kichwani: Kama mke wako ameajiriwa andika maumivu, tumeshamla

Kitu kizito kichwani: Kama mke wako ameajiriwa andika maumivu, tumeshamla

Hi!

Ngoja kwanza nianze kwa kucheka.
Niko kwenye ofisi za umma yapata miaka 7 sasa.

Dunia haiachi maajabu, anayelipwa mshahara yuko katika uhitaji wa pesa kuliko yule ambaye halipwi mshahara.

Sasa hawa wanawake employed ambao wana MISHAHARA na huenda waume zao wana MISHAHARA au biashara kubwa tu ndio wanaogongeka kisa offer za lunch, daaaahhh

Wakisafiri kikazi ndio usiseme.
Kwa ufupi ili ufurahie maisha mke wako mfanye mama wa nyumbani kinyume na hapo kubali kila kitu, tupa wivu mbali
Mkuu awe mama wa nyumbani awe mtumishi vyovyote vile akiamua tu kuitoa itachakatwa muda wowote. Hao wa mama wa nyumbani wanachakatwa na ma house boy, majirani, wauza maziwa, waosha kucha, machinga, serengeti boy, boda boda nk yaani kama wakuchakatwa wataichakata tu.
 
Ifike wakati wanaume tukubaliane hawa wanawake ni wetu wote hivyo kila mmoja ale kwa muda wake, acheni kujimilikisha (ndoa)
Huyo ni mke wangu na si wetu wewe ni kibaka tu nikikukamata tambua kuwa hautakuwa na marinda tena.
 
Miaka 7 uko kwenye utumishi wa umma kwa ujinga huu?? Unafanyakazi gani huko??!

Kwakweli nishida saana kupiga hatua kama taifa kwakuwa na watumishi kama hawa
Ataje mke mke wake ni muajiriwa au mama wa nyumbani ili tumtajie anaemla MKE WAKE.
 
Mama wa nyumbani pia wanagongwa na vijana jobless,wapaka rangi, bodaboda na wauza genge mkuu. Kitaa hapa tunaona pia mama wa nyumbani wanavyogongwa waume zao wakiondoka tu kwenda job, nao wanafanya yao.
Tena bora hao corporate ladies wanagongwa na corporate ambao dakika 2 washakojoa, kitu kusimama tena hapo hadi kesho, kuliko bodaboda au jobless wakiisimamia K wanasugua masaa mawili matatu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tumekubaliana tunaongeza idadi ya single mothers
Afu kila mtu apambane na hali yake
 
Ukiweza pia mchukuwe kabisa uishi nae kwako.

Maisha gani ya kuviziana kunyofoa korodani..

Kwa kifupi mwanamke analiwa mwanaume yeyote na popote..
 
Hi!

Ngoja kwanza nianze kwa kucheka.
Niko kwenye ofisi za umma yapata miaka 7 sasa.

Dunia haiachi maajabu, anayelipwa mshahara yuko katika uhitaji wa pesa kuliko yule ambaye halipwi mshahara.

Sasa hawa wanawake employed ambao wana MISHAHARA na huenda waume zao wana MISHAHARA au biashara kubwa tu ndio wanaogongeka kisa offer za lunch, daaaahhh

Wakisafiri kikazi ndio usiseme.
Kwa ufupi ili ufurahie maisha mke wako mfanye mama wa nyumbani kinyume na hapo kubali kila kitu, tupa wivu mbali
Usisomeshe wanao wa kike ili wakawe wake na watumwa bora. Hamasisha na ndugu zako waishie la pili.
 
Hi!

Ngoja kwanza nianze kwa kucheka.
Niko kwenye ofisi za umma yapata miaka 7 sasa.

Dunia haiachi maajabu, anayelipwa mshahara yuko katika uhitaji wa pesa kuliko yule ambaye halipwi mshahara.

Sasa hawa wanawake employed ambao wana MISHAHARA na huenda waume zao wana MISHAHARA au biashara kubwa tu ndio wanaogongeka kisa offer za lunch, daaaahhh

Wakisafiri kikazi ndio usiseme.
Kwa ufupi ili ufurahie maisha mke wako mfanye mama wa nyumbani kinyume na hapo kubali kila kitu, tupa wivu mbali
Hakuna usalama... ukimwacha nyumbani, akiamua, wauza maziwa, samaki, mbogamboga atapita nao tu.

KIFUPI NI TABIA YA MTU NA WALA SI KUAJILIWA AU KUWA MAMA WA NYUMBANI AU MFANYA BIASHARA...!!
By the way, kwani hapo ofisini kwenu hakuna wasiogegedwa?

Na unapowaza mambo kama ujuwe nawe pengine dada yako, au shangazi yako au mama au nfugu yako yeyote wa kike naye kaajiliwa sehemu..!!!
 
umenena kweli ..mi ni shuhuda nishawagonga sana kipindi nimeajiriwa mpaka vyooni yaani
 
Back
Top Bottom