Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Michael Cain ambae ni mcheza sinema mzaliwa wa Uingereza alisema yeye na mkewe wana nyumba tofauti katika jumba lao la vyumba 16 vya kulala na anaamini hiyo kuwa siri kubwa iliyoepusha migogoro ya ndoa kati yake na mkewe
Vain alisema nyumba vyao yeye na mkewe vina milango inayoingiliana, lakini kama mmoja anasoma kitabu na mwingine anakariri mustard ya sinema ijayo hawaingiliani
Kuna vitu vingi ambavyo wanaume vinawakera ili mara nyingi hawawezi kuvisema kwa wake zao na wakisema wanajua vinaleta ugomvi tu. Kati ya hivyo vingi vitatu ni vikubwa. Naomba nitaje hiki cha tatu na sijui labda dada zetu watabadilika.. (uwezekano wa hilo ni sifuri!)
Usiku wa manane.. mmelala mtu anaanza "Baba Chanja... unajua mama mdogo hatujamuona siku nyingi kweli kwanini tusiende kumtembelea weekend hii". Yaani hiyo ni saa tisa za usiku mtu kakosa usingizi anaamua kukuamsha na wewe wakati labda ulikuwa kwenye dili zako ndotoni..
Hivi ni lazima kweli mtu aanza kuzungumza mambo mazito usiku wa manane utadhani kuna emergency.?
Kama hukai na mke/mwanamke ndani hili huwezi kulielewa...
Unafiki at its best......... Uliyemfungia kwa kusali na kuomba siku 40 anafanya "ushetani" na wewe umeamua kuhamia chit chat na MMU kwa kujipa faraja ya kinafiki
Ovyo kabisa weeewe.......
Kuna vitu vingi ambavyo wanaume vinawakera ili mara nyingi hawawezi kuvisema kwa wake zao na wakisema wanajua vinaleta ugomvi tu. Kati ya hivyo vingi vitatu ni vikubwa. Naomba nitaje hiki cha tatu na sijui labda dada zetu watabadilika.. (uwezekano wa hilo ni sifuri!)
Usiku wa manane.. mmelala mtu anaanza "Baba Chanja... unajua mama mdogo hatujamuona siku nyingi kweli kwanini tusiende kumtembelea weekend hii". Yaani hiyo ni saa tisa za usiku mtu kakosa usingizi anaamua kukuamsha na wewe wakati labda ulikuwa kwenye dili zako ndotoni..
Hivi ni lazima kweli mtu aanza kuzungumza mambo mazito usiku wa manane utadhani kuna emergency.?
Kama hukai na mke/mwanamke ndani hili huwezi kulielewa...
Haya yanayotokea kwa sasa ni matokeo yake na unafurahia...... Nasubiria andiko lako kuhusu furaha ya kupigwa risasi kwa Tundu Lissu, kuuliwa kwa Alphonce Mawazo, kupotea kwa Ben Saanane and the list goes on.....Duh... kweli tuna kazi. Nina uhakika unajisikia vizuri mwenyewe. Shukuru Mungu tuliomba siku 40 tusingeomba sijui ingekuwaje.
Michael Cain ambae ni mcheza sinema mzaliwa wa Uingereza alisema yeye na mkewe wana nyumba tofauti katika jumba lao la vyumba 16 vya kulala na anaamini hiyo kuwa siri kubwa iliyoepusha migogoro ya ndoa kati yake na mkewe
Cain alisema vyumba vyao yeye na mkewe vina milango inayoingiliana, lakini kama mmoja anasoma kitabu na mwingine anakariri mistari ya sinema ijayo hawaingiliani