Kitu Pekee Yanga Wanachoweza Kufunga 'Kimataifa'

Walio karibu na Tambwe wamshauri tu huko anakoelekea....hapa waza mwenyewe
 
Picha za zamani kweli. Kipindi hiko wachezaji wanavaa track suit na sandles kwenye ndege!

Duh! Asante kwa kutukumbusha mbali aisee!
 
Weka zile za kwenye boat kwenda Zanzibar. Huko hawafungi mikanda?
 
Walio karibu na Tambwe wamshauri tu huko anakoelekea....hapa waza mwenyewe
Tambwe alizichapa ngumi na Ngoma walipokuwa kambini Uturuki, kisa Ngoma amependekeza kwa uongozi umsajili straika pacha mwenzie mwingine, ambaye ni Chirwa. Tambwe anawekwa benchi, labda atapangwa wakicheza na Ndanda
 
Daah nyama za medeama ni ngum sie tumezoea nyama ya simba
 
Lakini nashangaa wanafungwaje wakati masharti ya mganga wanafata? Mganga alisema wakunje track miguuni. Wote walikunja sasa wanafungwaje tena?


[/QUOTE]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…