Kitu Perfume. . . .

Kitu Perfume. . . .

Dah mi napenda kama ile yenye harufu ya rungu spray ya mbu nimeisahau jina kiasi kwamba hata tukijimwagia unyunyu hata tukiwa faragha mbu hawatupati
 
Kwa mwanaume haupaswi kukosa perfume moja kati ya hizi zifuatazo...

1. Aqua Di Gio - Giorgio Armani
2. Le Male - Jean Paul Gaultier
3. Dolce & Gabbana - D&G
4. Obsession For Men - Calvin Klein
5. 1 Million By Paco Rabanne
6. PI- Givenchy
7. 212 Carolina Herrera New York
8. Eternity - Calvin Klein
9. Polo By Ralph Lauren
10. Polo Black - Ralph Lauren


Yaani naomba tu unisogelee ukiwa umepaka no 1&10 ntakub......tena kuna mzigo umeingia vipi unahitaji moja kati ya hizo?
 
Mmeishia kutaja perfume na wengine wetu tumejua mnazo
Sasa je zina umuhimu gani kwenye maisha yenu na wapenzi wenu
msiishie kutaja tuu
Wengine hawapendi hata harufu ya perfume ile ya kawaida ya mwili tuu inatosha

Lol....kama mm nnavyopenda harufu yako.
 
Asante sana dear
Najua unaipenda harufu yangu na najua aina ya perfume ninayoitumia

Swadakta!wewe tena....ila niko tayari kukupa zawadi.
Uongo mbaya nikisikia mwanaume ananukia vizuri akili yangu huwa inahama:wink2:
 
Swadakta!wewe tena....ila niko tayari kukupa zawadi.
Uongo mbaya nikisikia mwanaume ananukia vizuri akili yangu huwa inahama:wink2:

kabisa na yabidi kuwa smart muda wote na kuwa na harufu ya kipekee muda wote
 
Hela ya EPA ilinipiga chenga ndiyo maana nilitoka nduki. Nielekeze unakopatia hiyo ya bei ya kawaida maana imeniishia. Huwa nanunua nikipata safari ya nje.

Huko nje huwa unanua kwa amount equivalent to Tanzanian One Million Shillings?
 
Swadakta!wewe tena....ila niko tayari kukupa zawadi.
Uongo mbaya nikisikia mwanaume ananukia vizuri akili yangu huwa inahama:wink2:

Mimi nanukia vizuri Mama Tuli. . . .
 
PACCO RABANE kichupa kwa tsh one million Tsh (1m.) Nenda pale junction ya Mosque/Market street opp IM Bank utakipata hicho kichupa. Usiniulize zaidi maana na mimi nilikitizama tu na kuondoka.
Hapana kiongozi hilo ni Jina la hiyo parfume sio bei yake, na PACO RABBANE ni jina la designer,ipo the Lady million na 1 million man zote za huyo Spannish designer,next time ukipita uliza bei mkuu usiogope.
 
sijaona mtu kataja mafuta uzuri, nayo ni mazuri sana.
Afu hata udi, upo ambao ni mzuri sana, ningekuwa naweza ningemuonjesha mmoja udi, tena raha yake nyakati za kwenda kulala.
 
sijaona mtu kataja mafuta uzuri, nayo ni mazuri sana.
Afu hata udi, upo ambao ni mzuri sana, ningekuwa naweza ningemuonjesha mmoja udi, tena raha yake nyakati za kwenda kulala.

Ha..ha..ha..Humu watu hawapaki uturi wa pale Kariakoo na Tandika...Yaani hii thread inanukia vizuri kutokana na Perfumes na Colognes zilizojaa kila nikikatisha inanivutia kuifungua.
Kongosho unayajua marashi ya Kuluthum wewe??
 
Wanaume mwaweza kujaribu hizi pia, superior for men , na for him narciso rodrigues
 
tatizo bei mkuu,hapa dar perfume original zinapatikana jd pharmacy iliyoko walking village masaki,lakini kaulize bei utaruka hadi darini.(bei ya chini laki mbili na ushee).
 
Back
Top Bottom