Kituko cha utotoni ambacho sitakisahau

Ulikula ile mixture ya unga na udiko...
 
="miss chagga, post: 15239698, member: 148879"]kaolewana anagongwa na wengine ha ha ahhaha
Hahaha..yaani nilitunzia raia mkuu... Da, Jah atanilipa au pengine ashanilipa sacrifice yangu..
 
Hahaha atoto nakufaa huku mbavu zanguuuuu. Basi usijali ntakuwa nakuandalia chai kila ukija
 
Hii thread imenifanya nijue JF members wengi wamekulia vijijini.
 
Hahaaaaa dah!!!
 
Mkuu kumbe haya mambo ulianza mapema eeh, no wonder......
 
Mimi nilijipaka utomvu wa majani flani kule kwetu mamndenyi kwenye uume - wakaka wakubwa walitudanganya inaongeza ukubwa wa uume - niliumwaaaaaaaaaaa...lakini ilisaidia nilitahiriwa kabla ya kufikia umri wa kutahiriwa (kwa mila zetu).

Kumbe mbinu za kutaka kuongeza ukubwa wa "kifaa" zinaanza toka utotoni eeeh!!
 
Nakumbuka i was7, alafu wakati huo ndio nimejua kuogelea basi natamani kuogelea kila wakati na vyanzo vya maji viko mbali.

Siku nikaondoka mchana jua kalii kwenda kisimani kuchota maji maana mchana wengi huwa hawaendi coz of jua.
Kufika nikaangalia kushoto na kulia hakuna mtu nikavua nguo nikatumbukia kuogelea.
Aisee nilipitiliza nikanywa maji ya kutosha, nikiwa ktk hali ya kutapatapa akatokea mama(kama bahati tu) akaniokoa na kunitapisha maji yote.
Akaniuliza imekuwaje? Nikamjibu niliteleza, akauliza uliteleza vipi ikiwa nguo umevua ziko pembeni? Nikabaki natoa macho tu, akanipa stik za kutosha, daaah!!
 
Daah sitakaa nisahau tukio kama hilo maana damu ziliruka niliogopa nikatoka baruuu, alishonwa nyuzi kibaooo.
Mmh au ndo wewe ulinipasuaga kwenye paji la uso? Sema me sikushonwa, kweli hujaanza leo kuonea wivu reception yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…