Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Yani hapana, ni umenichekesha ujue khaaaaaa. Lazima uwe na adabu na chai sasa hivi tehYaani acha kabisa, semosi ilinifanya mbaya mdomoni, yaani hadi leo hii naiheshimu ile mbaya, chai natest mara mbili mbili kuahikiki kama inanyweka, kila nikionaga semosi nakumbukaga hili tukio hadi leo na uzee huu, imagine mateso ya kutema vinyama 2 weeks mchezo, weee nilikoma
atoto
Ewaaaa that's what I did mkuu, sasa imagine kitu cha moto afu unaharaka zako kupiga pafu coz unaiba afu wazo la kusema ni ya moto huna, weeeeeee hakuna rangi utaacha kuona!!
Sipati picha aisee maana chai ya moto. Kuna vitu vinatokea mpaka unashangaa. Utotoni tunapitia mengi sanaEwaaaa that's what I did mkuu, sasa imagine kitu cha moto afu unaharaka zako kupiga pafu coz unaiba afu wazo la kusema ni ya moto huna, weeeeeee hakuna rangi utaacha kuona!!
duh, mkuu kumbe udadisi wako kwenye haya mambo ulianza kitambo hiviooo??Nikiwa mdogo niliwahi kuiba hirizi iliyokuwa inapumua ya mzee mmoja mchawi aliyekuwa anaogopeka sana pale kijijini. .kwenda kuipasua nilikuta kinyonga aliyekatwa mkia alitweta kwa kukosa pumzi vizuri
Lile tukio lilikuwa kubwa na baya pale kijijini mpaka ikibidi nihamishwe
dah, naujua huu, na hii kitu ilikua inatokea sana kule uchagani, kwa kilugha hivi huu mmea ulikua unaitwaje tena?Mimi nilijipaka utomvu wa majani flani kule kwetu mamndenyi kwenye uume - wakaka wakubwa walitudanganya inaongeza ukubwa wa uume - niliumwaaaaaaaaaaa...lakini ilisaidia nilitahiriwa kabla ya kufikia umri wa kutahiriwa (kwa mila zetu).
Siku hizi hadi najichelewesha makusudi ipoe ndo nitest, sithubuti eti imemiminwa tu niweke mdomoni, big no, lile tukio la utotoni bado linaniathiri hadi leoYani hapana, ni umenichekesha ujue khaaaaaa. Lazima uwe na adabu na chai sasa hivi teh
Hahahaaaa! Hataa hilo wazo halikuwa kichwani, alafu mie sio muoga kabisa.Duuh kunbe ujasiri ni asili yako, naimagine hapa mchana wa jua kali kukatiza vichaka hadi kisimani peke yako, hata hukuogopa majini ya majini huko peke yako l
Hahahaaaa! Kufakamia hukuanza uzeeni my kakaYaani acha kabisa, semosi ilinifanya mbaya mdomoni, yaani hadi leo hii naiheshimu ile mbaya, chai natest mara mbili mbili kuahikiki kama inanyweka, kila nikionaga semosi nakumbukaga hili tukio hadi leo na uzee huu, imagine mateso ya kutema vinyama 2 weeks mchezo, weee nilikoma
atoto
Mie sijawahi ungua ila na uzee huu napooza chai kwanza ndio nanywa.Siku hizi hadi najichelewesha makusudi ipoe ndo nitest, sithubuti eti imemiminwa tu niweke mdomoni, big no, lile tukio la utotoni bado linaniathiri hadi leo
Hahaaaa we Sista badala ya kunipa pole kubwa we unanicheka, haya bwanaHahahaaaaa! Yaani nimecheka hadi nimelia maana sio kwa kufakamia chai huko ikiwa ndani ya "semosi"
Weeeee mashauri nilianza secondari baada ya kuanza kusifiwa sifiwa na wadada darasani, tehYaani hapa nimeiangalia semosi nikamkumbuka yeye, nshomile mashauzi kaanza alivyofikisha miaka 48
Hahahaaaa pole sikupi ng'ooooHahaaaa we Sista badala ya kunipa pole kubwa we unanicheka, haya bwana
Ungejua nilivyoumia ungenipa pole tu baasi, semosi hadi leo naiheshimu
Mdanganye heaven sent ila mimi hunidanganyi kitu.Weeeee mashauri nilianza secondari baada ya kuanza kusifiwa sifiwa na wadada darasani, teh
Akhaa me mwenyewe nina allergy na nshomile huyu, ana sifa huyu ndugu yako khaaaaaHahahaaaa pole sikupi ng'oooo
Mdanganye heaven sent ila mimi hunidanganyi kitu.
Roho mbaya hiyo sista, loohHahahaaaa pole sikupi ng'oooo
Mdanganye heaven sent ila mimi hunidanganyi kitu.
Yaani hata usemeje pole sikupi, nao wanavimbwanga vyao acha kabisa.Roho mbaya hiyo sista, looh
Heaven Sent ana roho ya huruma ya kuzaliwa ndoa maana ananipa pole ya utundu wangu wa utotoni
BTW hivi hawa watoto wa siku hizi nao wanafanya vitu amazing kama hivi vya enzi zetu? am just curious
Afadhali maana nikikumbuka alivyonisababishia niwe shangazi wake wa hiari sina hamu.Akhaa me mwenyewe nina allergy na nshomile huyu, ana sifa huyu ndugu yako khaaaaa
Mmh haya bwanaYaani hata usemeje pole sikupi, nao wanavimbwanga vyao acha kabisa.
Teh teh teh..........kazi mnayo na huyu kaka yenu nshomileAfadhali maana nikikumbuka alivyonisababishia niwe shangazi wake wa hiari sina hamu.
Hahaha mtoto ni mtoto tu. My lil sis yeye alikuwa anaonja kitu chochote mbele yake. Yani kila anachokiona anabugia tu fasta. Tushapata kesi kibao na yeye kwa mzee maana mara leo anywe mafuta ya taa, kesho kabugia mseto dawa, mara atake kuonja mafuta ya betri yani ni heka heka tu. Si unawajua wazee mlivyo, nyie mnaona tu kama sisi hatupo makini na mtoto, wazembeRoho mbaya hiyo sista, looh
Heaven Sent ana roho ya huruma ya kuzaliwa ndoa maana ananipa pole ya utundu wangu wa utotoni
BTW hivi hawa watoto wa siku hizi nao wanafanya vitu amazing kama hivi vya enzi zetu? am just curious