Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Mwishoni mwa miaka ya 1960 Mobutu aliwekeza sana kwenye mpira wa miguu kwa lengo kwamba nchi yake iweke record ya kuingia fainali za kombe la dunia, miongoni mwa aliyoyafanya ni kutafuta wachezaji na kuwapa nyumba mpya na magari aina ya VOLKSWAGEN ilipofika mnamo mwaka 1974 Zaire ilikuwa nchi ya kwanza ya sub sahara Africa kushiriki kombe la Dunia, lakini kuna bwana mmoja anaitwa MWEPU ILUNGA alikuwa mchezaji wa timu ya taifa ya Zaire (the leopards) wakati ikicheza na Brazil alifanya kituko kilichowaacha mdomo wazi wazungu
jamaa wakati wa faulo (sio mpenzi wa mpira hivo sina uhakika na hili jina) wenzie wakiwa wameweka defence yeye alienda akapiga mpira wakati sio team yake ilipaswa kupiga mpira
“he ran out of his team's defensive wall and kicked away a free kick before the ball was in play.”
Zaire hata hivo ilishindwa hii match kwa 3–0. pia walifungwa mechi zao mbili za mwanzo walipocheza na Scotland 2–0 na Yugoslavia 9–0.
kitendo hiki kilimvunja moyo Mobutu akaacha na kufadhili mpira akajikita zaidi kwenye muziki (wasanii walipewa state sponsorship )
Waliporudi Zaire walipokelewa na bus ya jeshi (kawaida walikuwa wakipokelewa na bus za kifahari) ikawapeleka Ikulu walipomkuta Mobutu ana hasira akawauliza “kwahiyo mlidhani mtagoma ? siku nyingine nitawatupa wote jela,nimewapa magari na nyumba kila mmoja wenu alafu mmefanya haya ?”
baada ya hapo Mobutu aliwapiga marufuku kusafiri,majina na picha zao yaliwekwa kila Airport na bandarini yakiwa na ujumbe uliosomeka HAWARUHUSIWI KUONDOKA NCHINI ili wasiende kucheza mpira ulaya maana timu za ulaya ziliwataka, baadae wachezaji waliishi maisha ya umasikini wa kutupwa na wengine walifariki wakiwa masikini kutokana na kosa walilofanya
Sent using Jamii Forums mobile app
jamaa wakati wa faulo (sio mpenzi wa mpira hivo sina uhakika na hili jina) wenzie wakiwa wameweka defence yeye alienda akapiga mpira wakati sio team yake ilipaswa kupiga mpira
“he ran out of his team's defensive wall and kicked away a free kick before the ball was in play.”
Zaire hata hivo ilishindwa hii match kwa 3–0. pia walifungwa mechi zao mbili za mwanzo walipocheza na Scotland 2–0 na Yugoslavia 9–0.
kitendo hiki kilimvunja moyo Mobutu akaacha na kufadhili mpira akajikita zaidi kwenye muziki (wasanii walipewa state sponsorship )
Waliporudi Zaire walipokelewa na bus ya jeshi (kawaida walikuwa wakipokelewa na bus za kifahari) ikawapeleka Ikulu walipomkuta Mobutu ana hasira akawauliza “kwahiyo mlidhani mtagoma ? siku nyingine nitawatupa wote jela,nimewapa magari na nyumba kila mmoja wenu alafu mmefanya haya ?”
baada ya hapo Mobutu aliwapiga marufuku kusafiri,majina na picha zao yaliwekwa kila Airport na bandarini yakiwa na ujumbe uliosomeka HAWARUHUSIWI KUONDOKA NCHINI ili wasiende kucheza mpira ulaya maana timu za ulaya ziliwataka, baadae wachezaji waliishi maisha ya umasikini wa kutupwa na wengine walifariki wakiwa masikini kutokana na kosa walilofanya
Sent using Jamii Forums mobile app