Uncertainty
Member
- Jan 23, 2012
- 70
- 27
Haukuvaa boksa?Nikiwa form two mida ya saa saba mchana mwalimu wa chemistry aliniita mbele ya darasa wakati mashine ( abdalah kichwa wazi) amesimama basi darasa zima likaangua kicheko.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji2] pole sana.Nikiwa form III na vijana wangu watatu tulisepa na sufuria la wali na nyama porini, nakumbuka tulitafutwa na shule nzima mpaka mademu tukaona nyomi lilivyotawanyika porini kutusaka ikabidi tuhamishie mzigo kwenye ndoo na kuacha masufuria, tukiwa kwa mbali tunawachora wanafunzi wanaotutafuta balaa lilikuwa pale walipoyaona masufuria tuliyoyaacha na msosi kidogo ugomvi mkubwa ulizuka mpaka watu kupigana. Baada ya week ikajulikana nani walifanya tukio kilichotukuta ni siri yetu kwa sababu shule ilikuwa ni ya Jeshi tulikabidhiwa kwa MP wawili Coplo DAVI na Sajent J4 aisee tulipewa dozi kama makuluta waliotoroka mazoezi, Ka baada ya masaa manne tukiwa hoi tukapelekwa jikoni na kukabidhiwa sufuria la ugali na sado la maharage eti tule mpaka tumalize.... wacha niishie hapa maana hiki hakikuwa kituko bali Juto
Hahaaaaa poa mkuu nimekusoma nimekusomaYan usingeweka neno kuhusiana na kugegeda ningeshangaa sana, yan sijawah ona post yako isiyo na migegedo, we jamaa unajini mahaba mkemee haraka sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nikiwa form III na vijana wangu watatu tulisepa na sufuria la wali na nyama porini, nakumbuka tulitafutwa na shule nzima mpaka mademu tukaona nyomi lilivyotawanyika porini kutusaka ikabidi tuhamishie mzigo kwenye ndoo na kuacha masufuria, tukiwa kwa mbali tunawachora wanafunzi wanaotutafuta balaa lilikuwa pale walipoyaona masufuria tuliyoyaacha na msosi kidogo ugomvi mkubwa ulizuka mpaka watu kupigana. Baada ya week ikajulikana nani walifanya tukio kilichotukuta ni siri yetu kwa sababu shule ilikuwa ni ya Jeshi tulikabidhiwa kwa MP wawili Coplo DAVI na Sajent J4 aisee tulipewa dozi kama makuluta waliotoroka mazoezi, Ka baada ya masaa manne tukiwa hoi tukapelekwa jikoni na kukabidhiwa sufuria la ugali na sado la maharage eti tule mpaka tumalize.... wacha niishie hapa maana hiki hakikuwa kituko bali Juto
Ahahahahahha una akili sanaayah hata mm namdharau mtu anaye fail kwa kushindwa kujisaidia mwenyewe maana mwsho wa siku ulichokijibu kwe huo mtihani hukipeleki popote so chunga usifail tu
Elezea basi hata hueleweki loNakumbuka nilipewa kazi ya kudesign ramani ya shule nikaiandaa vzr ila walivyonipa adhabu kupigwa stik mbele ya master parade nikaenda kuwapa copy ambayo vyoo vya shule vipo eneo la assembly alafu hakuna mpangilio wa barabara wala barabara kuu ya kuingilia na kutokea hadi mkuu wa shule nilipomuonesha ramani org nzuri nikawaambia hii kuna mtu anaiuza wakanipa hela ndio nikawaachia
NECTA je?Tukio ambalo sitalisahau ni kupata A masomo yote advance mock combination EGM hilo ni tukio la kihistoria
Ikawaje sasa endelea kidogoMasta aliwah kunifuma nilikua nimebana nyuma ya bweni sijaenda church, alfajir kigiza cha saa11. Nlivomwona akatoka nduki akaanza kunifukuza tukafika mpaka bustanini, nikampitisha kwenye majaruba ya mboga, akawa anashindwa kuruka, bahati mbaya akatika kwenye jaruba la kabeji akaikanyaga akaangukia ndoo ya chuma iliachwa bustanini. Alivunjika mkono aisee. Nikaewah nikazama church, ilipopigwa rollcall (rokoo) matata baada ya ibada hata ivo walikuta wanafunzi wote tupo kanisani
Mkuu nilichofanya mm ndo icho, matibabu ya mkuu sikuhusika.Ikawaje sasa endelea kidogo
Mmmh HongeraTukio ambalo sitalisahau ni kupata A masomo yote advance mock combination EGM hilo ni tukio la kihistoria
Napo ivyo ivyoNECTA je?
Asante ile issue yangu vp mbona umenidanganyaMmmh Hongera
Ipi hiyo nimeisahauAsante ile issue yangu vp mbona umenidanganya
Ulisema utanipa buku ten ninunue BibleIpi hiyo nimeisahau