Uncertainty
Member
- Jan 23, 2012
- 70
- 27
Nakumbuka nilipokuwa O level kuna manzi Fulani nilikuwa namkubali sana mtoto mzuri kinoma.
Siku moja tuko tunapata Lunch (boarding)akapita akiwa na wenzake kwa mbali dah nilishtukia nimesimama na kumuita kwa Sauti Kubwa Mara kadhaa( genye mbaya sana) bahati mbaya kumbe kaongizana na matron halafu shule ilikuwa seminary.
Kilichitokea baada ya hapo siri yangu
Siku moja tuko tunapata Lunch (boarding)akapita akiwa na wenzake kwa mbali dah nilishtukia nimesimama na kumuita kwa Sauti Kubwa Mara kadhaa( genye mbaya sana) bahati mbaya kumbe kaongizana na matron halafu shule ilikuwa seminary.
Kilichitokea baada ya hapo siri yangu