Kituko gani unakumbuka siku ya kwanza kusex?

Kituko gani unakumbuka siku ya kwanza kusex?

kimadui

Member
Joined
Jun 13, 2021
Posts
32
Reaction score
46
Naamin mpo good wadau,

Leo nlikua kijiwen na wajuba tunapiga piga story ya mambo za Hamza, mara story zikahama mpaka kwenye minyaduano maana kuna dada bonge bonge alipita kijiweni akaharibu kilinge baada ya jamaa mmoja kusema unaeza muona na minyama hivo halafu ukafika 6x6 ukakuta hakuna kitu.

Nisiwachose Sana hii ilipelekea nikumbuke siku ya kwanza kunyandua, kuna mdada tulijikuta tume fall japo ye alikua na mtu wake sasa katika story story siku moja nkajitapa ntampa kitu mpaka atamsahau jamaa ake, basi bana kama masihara siku yenyewe ikafika nkaambiwa nikachukue room nikachukua room guest flan hivi.
Tumeingia ndani story mbili tatu huku mapigo ya moyo yanaenda Kasi kweli mpaka akaniuliza.

"Vipi kuna shida mbona moyo unadunda hivo?" me nkajibu "unadunda sababu siamini kama Leo nakunyandua mtoto mzuri kama wewe" akacheka kidogo ile kichokozi nkamvuta nkapiga mate Sana nakupapasa mwili demu akaloa sikujua niliona tu anaanza kunivuta akimaanisha tuanze game.

Sasa bana vituko vinaanzia hapa nlikuaga sijawahi ona mbususu live zaidi ya kwenye porn, demu akalala kifo cha mende, me ukuni umekakamaa balaaa nkaanza kuchomeka kwa juu ya kinembe nkijua ndo tundu lilipo komaa kuchomeka wapi mpaka demu akaishika mwenyewe akaielekeza mahala pake.

Nmepiga Tako kadhaa mara demu ananambia "subiri kwanza mbona kama umekojoa" nkabaki nakodoa mimacho tu, maana sikuhisi chochote halafu pia huo msamiati ulikua mgeni kwangu me nlikua nmezoea kupizi au kumwaga, akanambia "hebu chomoa kwanza" nkachomoa nkakaa pembeni akaniuliza "una muda gani hujasex?" nkamdanganya "kama miezi mitatu" akanambia "umemwaga shahawa nyingi mno Yani hapa inabidi niende bafuni kwanza nijisafishe ndo nirudi tuendelee" nikajibu "haina shida"

Basi akarudi kutoka bafuni hapo me ukuni ushalala naona aibu kishenzi nkajikakamua nkawa tayari kuanza second round nkajifanya fundi nkmwambia demu akae mbuzi kagoma, hapa ndo balaa lilipoanza sasa nkaanza kuchomeka dudu kwa chin kidogo kumbe narudia kosa kama la mwanzo naona kitu kigumu tu kupenya ikabidi nisaidiwe tena maana nlikua nahofu nisiingie topeni, basi bana nimepiga kama Tako mbili ikawa Kila nkisukuma ukuni kuna sauti inatoka kubwa ile ya prffruuuuu prrffuuuu mh!

Nkajisemea moyoni "huyu demu mbona anajamba hivi", na yeye akawa anajaribu kujirekebisha rekebisha ili sauti isitoke lakin wapi ikabidi anambie "tubadilishe mkao" tukarudia staili ya mwanzo staili ya taifa nkafika mshindo nkachomoa nkalala pembeni yake.

Mara roho ya majuto ikaniijia nikawa najiuliza nimefanya nini hiki mambo gani haya ya uchafu nimefanya ile roho ilinitesa Sana ikabidi nipange uongo niondoke mule chumbani, nkajipigisha na simu ya uongo na kweli nkachomoka zangu japo ye hakutaka niondoke alitaka tukae mpaka jioni Toka siku hiyo huyo demu hakuwahi kunipa tena mbususu hata nkimuomba.
 
Kupitia i thread nme gundua kumbe na tatizo la macho au nyie wenzangu mna onaje
 
Hilo tatizo la kushindwa kulenga tundu kwa siku ya kwanza ni tatizo la taifa.
 
Nsingekuwa baba yako ningekwambia ila kwa mila zetu za kiafrika haya si mambo ya kuongelea vinginevyo mnaanza ushogxxxa
Hata me mwanzo nliona kama wew lakin now days ni vitu vya kawaida sababu jamii kubwa ya vijana ndo stori wazopiga all the time kwa hio haikwepeki ndugu Wala sio ushoga hata makanisani na misikitini mahusiano ndo mada kuu
 
Hata me mwanzo nliona kama wew lakin now days ni vitu vya kawaida sababu jamii kubwa ya vijana ndo stori wazopiga all the time kwa hio haikwepeki ndugu Wala sio ushoga hata makanisani na misikitini mahusiano ndo mada kuu
Ndo maana hawaendelei. Angalia hata miziki na sinema zao vyote ngono. Tuna tatizo la kuwa na vijana wengi wenye akili za kingono ngono.
 
Back
Top Bottom