Yaani waendelee kuto leta maendeleo kwa miaka 5 duuuSasa wanaomba kura za nini....mitano tena waje kuomba radhi....
Hii ni abrakadabra....hebu wapigwe chini, watu wapo wengi wa kuwa viongozi..
Yaani Kama hapo ,unapita unamtia mmoja mmoja kibao Cha shavu alafu unawaambia haya endeleeni na kampeniWagombea uongozi wa mitaa kwa kata ya Salasala kwa ticket ya CCM wakiwa wamepiga magoti kuwaomba msamaha wananchi wa kata hiyo wa kwa kushindwa kutekeleza majukumu yao ya kuwaletea maendeleo kwa kipindi cha miaka 5 iliyopita.
View attachment 3160081
Huyu mwenye kofia nyeusi mbona anatucheka wananchi.....Wagombea uongozi wa mitaa kwa kata ya Salasala kwa ticket ya CCM wakiwa wamepiga magoti kuwaomba msamaha wananchi wa kata hiyo wa kwa kushindwa kutekeleza majukumu yao ya kuwaletea maendeleo kwa kipindi cha miaka 5 iliyopita.
View attachment 3160081
Wanaomba wapewe waendelee kula
Ndugu wananchi mlioombwa radhi,msiwachague hao kwa maana nyingine nyoeni vichwa vyao ngumu na wachagueni wagombea wa vyama vingine iwe fundisho kwao.Na wachape kazi kweli kweli pindi wakipewa nafasi kuwahudumia wananchi.Wagombea uongozi wa mitaa kwa kata ya Salasala kwa ticket ya CCM wakiwa wamepiga magoti kuwaomba msamaha wananchi wa kata hiyo wa kwa kushindwa kutekeleza majukumu yao ya kuwaletea maendeleo kwa kipindi cha miaka 5 iliyopita.
View attachment 3160081
Sema tu sisi Watanzania ni kondoo! Tulitakiwa tulisimamie hilo la kukata watu hovyo hovyo!Wamshukuru sana Mchengerwa na OR TAMISEMI wanabebwa sana aisee lakini haki ingetendeka CCM wengi wangekaa benchi kujifunza nini vyama vingine vinatekeleza wajibu wake kwa Wananchi.
Huyu anaonekana mjeuri
View attachment 3160142