LGE2024 Kituko, Wagombea wa CCM wapiga magoti kuomba radhi kwa kutotimiza majukumu kipindi kilichopita

LGE2024 Kituko, Wagombea wa CCM wapiga magoti kuomba radhi kwa kutotimiza majukumu kipindi kilichopita

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Muwasamehe jamani binaadamu hukosea au kupitiwa kwa raha za cheo hata kikiwa kidogo.

Kama hii si chumvi au uzushi basi ni tusi kwa wananchi wapiga kura.
 
Sema tu sisi Watanzania ni kondoo! Tulitakiwa tulisimamie hilo la kukata watu hovyo hovyo!
mbona watanzania tunawakataa sana kwenye sanduku la kura...ila ushawasikia wenye dola yao wanaohesabu kura na kutangaza matokeo ndio kuchagua nani atawale kitendo cha sisi kupiga kura ni kuwapa uhalali tu wanaemtaka wao
 
Inachekesha kwasababu hii mbinu inafanya kazi bado, unaweza hisi watanzania wameshtuka sana hawawezi kubebwa kwa hizi mbinu ila subiri matokeo.
 
Back
Top Bottom