Kitulo Njombe: Usaili ajira za mda za sensa wagubikwa na vitendo vya rushwa na upendeleo

Kitulo Njombe: Usaili ajira za mda za sensa wagubikwa na vitendo vya rushwa na upendeleo

Yani hicho ni kilio cha nchi nzima sio kitulo tu,,,,yani hii haitofautiani sana na uchaguzi wa 2020
 
ALERT [emoji599] [emoji599] [emoji599]

View attachment 2307084View attachment 2307083View attachment 2307085

Huko katika kata ya kitulo mkoani njombe aliyekuwa mwenyekiti wa usahili Agizo chapel tweve ambaye ni mwl.mkuu kampitisha mke wake Vailet sanga nawakinga wenzao naanajisifia hawez waacha wazawa..

amempitisha mtu aliyeomba usimamizi wamaudhui kuwa karani Okraim ngailo majina mengine mengi mchongo wa rushwa tu.

Jina no.286 ni mwenyekiti zoezi la usaili
Jina no.300 nimke wake 291 aliomba usimamizi wa maudhui kahonga kapewa ukarani.

COPY AND PASTE
Hapa pamejaa majungu na husuda tu.
Kwanini....
Hoja kwamba kamweka mke wake ni dhaifu kwa Sababu kama mke wako ana sifa na jina lilirudi kutoka nbs kwanini asipate?
Hoja kwamba kaweka wazawa nayo n dhaifu, kwasababu hayo ndo maelekezo ya NBS, zoezi lifanywe na wazawa si wageni wasojua maeneo.

Yapo mambo mtu analalamika ni kwa vile hana fursa tu but hata angepata fursa hiyo angefanya hivohivo.

NB: Ulichofanya si busara hasa hadi kufikia kutuma picha tena hadi ya mke wa mtu! Ni udhalilishaji tu, maana ungeweza kuweka hoja tu bila picha.
 
Mtifuko mtifuko hiyo sensa iishe Tu, ila hata ingekuwa wewe ungemwacha wife kweli akose sidhani anyways Kila mtu ashinde mechi zake
 
Hapa pamejaa majungu na husuda tu.
Kwanini....
Hoja kwamba kamweka mke wake ni dhaifu kwa Sababu kama mke wako ana sifa na jina lilirudi kutoka nbs kwanini asipate?
Hoja kwamba kaweka wazawa nayo n dhaifu, kwasababu hayo ndo maelekezo ya NBS, zoezi lifanywe na wazawa si wageni wasojua maeneo.

Yapo mambo mtu analalamika ni kwa vile hana fursa tu but hata angepata fursa hiyo angefanya hivohivo.

NB: Ulichofanya si busara hasa hadi kufikia kutuma picha tena hadi ya mke wa mtu! Ni udhalilishaji tu, maana ungeweza kuweka hoja tu bila picha.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Dawa imekuingia ukiwa upande gani wa geto lako?
 
Kila jipu huanza km kipele,mungu atusaidie tu maana mbele kuna mambo makubwa sana tutashuhudia zaidi ya haya.Mungu ilinde Tanzania
 
Hii siyo sawa , kabla ya Tuhuma twambie nikina nani hao waliyo stahiki kupewa hizo nafasi? Wakati unatuhumu kujaza wakinga je eneo husika wenyeji wake walio wengi ni kabila gani?

Mbona nimeona jina "Wambura" huyu nae ni Kinga?
Huyu Mgaya je?
huyu si mbena jamani?
Je huyo mke wa Mwam hana sifa stahiki?
Je aliomba nafasi hiyo au amepachikwa TU bila hata kuomba?

Umetumia Jina Njombe sio kwa kuitambulisha Kitulo Bali kuvuta hadhira kwenye mpango wako wakushambulia watu.

kwa ambao hawajawahi fika Njombe wanaweza kudhani Kitulo Iko jirani na Njombe. Hii sio Kweli Toka Njombe had Kitulo national park, nizaid km140ukipita njia ya Makete. Ukipitia Chimara nizaidi 170km

Kutoka wilayani Makete hadi Kitulo national park ni km 32 .

Kumbuka wenyeji wa Makete ni wakinga .

Je kwa mazingira haya unataka wawekwe kinanani? Angekua ni Mkurya akaweka kina Wambura , ingeleta picha mbaya hata kama Wana sifa.

Mwisho. sijaona sababu ya kuweka picha zawatu mtandaoni.
Kama tunataka kutendewa haki tuheshimu haki za wengine.
 
Hehehe hizo ndo sura za kazi za watu wa njombe.

Ikiwa sifa stahiki wanazo there is no way ukasema wamepewa kimchongo.

Ila kama hawana sifa hapo ndo pakuanzia. Ingekuwa wewe ungemtema mtu kwa kuwa tu ni mkeo/mumeo?
 
Ni wazi hakunaga usawa ktk michakato ya ajira na hili limejidhihirishaaa
 
Hapa pamejaa majungu na husuda tu.
Kwanini....
Hoja kwamba kamweka mke wake ni dhaifu kwa Sababu kama mke wako ana sifa na jina lilirudi kutoka nbs kwanini asipate?
Hoja kwamba kaweka wazawa nayo n dhaifu, kwasababu hayo ndo maelekezo ya NBS, zoezi lifanywe na wazawa si wageni wasojua maeneo.

Yapo mambo mtu analalamika ni kwa vile hana fursa tu but hata angepata fursa hiyo angefanya hivohivo.

NB: Ulichofanya si busara hasa hadi kufikia kutuma picha tena hadi ya mke wa mtu! Ni udhalilishaji tu, maana ungeweza kuweka hoja tu bila picha.
Shida siyo nafasi. Mke wake alipaswa kuwa karani Kwa mjibu wa PDF kutoka NBS. Sasa mwl mkuu kafanya yake amempa Msimamizi wa maudhui. Maana yake ni kwamba, wale wasimamizi wa maudhui walipendekezwa na NBS wametemeshwa... Hii ni hatari Sana Hata kama wewe unaunga mkono. Kila MTU apate alichoomba[emoji3166]
 
Back
Top Bottom