Kitumbua cha Bibi (PAPUCHI) kuwasha sana, nini tatizo?

Madame B

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2012
Posts
31,155
Reaction score
35,683
Habarini wadau.
Sijui nielezeje ila ni kwamba najikuna sana hapa mbele (kwenye kitumbua) panapoota nywele.
Nimepima sina fangasi, ugonjwa wa ngozi na wala sina harara.
Nikinyoa,nisiponyoa hali ni ileile.
Ila najikuna sana mpaka nasikia utamu.

Wataalamu, nikapime kipimo gani?
Kumbuka ni mwaka sasa hili tatizo lipo.
 
Pole sana, bila shaka utapata ushauri wa kukusaidia toka kwa wataalam.
 

Njoo nikukune mtoto
 
Ni wewe Madame B au mwingine? Mwenzio alikuwa akikikuna kinatoa unga wewe cha kwako vipi? Anyway inabidi ukapime kwa hospitali ila angalia asikupime mwanaume maana anaweza akakikuna yakawa mengine...lol eti kinawasha halafu unakikuna unasikia raha!
 
Last edited by a moderator:
Ukienda kwa daktari yeye atajua akupime nini. Ila uvae teitei nzuri manake lazma uchunguliwe.
 
Ni wewe Madame B au mwingine? Mwenzio alikuwa akikikuna kinatoa unga wewe cha kwako vipi? Anyway inabidi ukapime kwa hospitali ila angalia asikupime mwanaume maana anaweza akakikuna yakawa mengine...lol eti kinawasha halafu unakikuna unasikia raha!

Wee nitonye,
sasa nitamkimbia daktari?
 
Last edited by a moderator:
...kama hakuna ugonjwa wowote...katakuwa kapepo ka utamu..njoo nikuombee..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…