Kitumbua cha Bibi (PAPUCHI) kuwasha sana, nini tatizo?

Kitumbua cha Bibi (PAPUCHI) kuwasha sana, nini tatizo?

Madam kwa mujibu wa maelezo yako itakuwa ni fungal infection hiyo inaweza kuwa ndani ukeni au kwenye pubic hair kama inavyotokea kichwani sasa mi nakushauri utumie dawa za fungus za kumeza unaweza kutumia tabs Griseofulvin 500mg kutwa mara 1 kwa siku 28 na pia nunua Gynozol cream uingize ndani ukeni kila siku usiku na pia waweza paka kwenye hilo eneo linalowasha utapata nafuu kama una chochote cha kujua zaidi unaweza kuni PM
 
Nakumbuka wakati fulani korodani zilikuwa zinawasha, hio raha mie naielewa. Nilipaka quadriderm ikaisha sijui ilitoka wapi na mie sio mtu wa mapapuchi...
 
Back
Top Bottom