Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmmh mpaka unasikia utamu..nakushauri endelea huna tatizo kabisa,labda uongeze saizi ya kikunio,acha tumia mkono kuna fagio la chelewa ni kikunio kizuri jaribu hicho ili upate raha zote
Habarini wadau.
Sijui nielezeje ila ni kwamba najikuna sana hapa mbele (kwenye kitumbua) panapoota nywele.
Nimepima sina fangasi, ugonjwa wa ngozi na wala sina harara.
Nikinyoa,nisiponyoa hali ni ileile.
Ila najikuna sana mpaka nasikia utamu.
Wataalamu, nikapime kipimo gani?
Kumbuka ni mwaka sasa hili tatizo lipo.
Ni wewe Madame B au mwingine? Mwenzio alikuwa akikikuna kinatoa unga wewe cha kwako vipi? Anyway inabidi ukapime kwa hospitali ila angalia asikupime mwanaume maana anaweza akakikuna yakawa mengine...lol eti kinawasha halafu unakikuna unasikia raha!

Habarini wadau.
Sijui nielezeje ila ni kwamba najikuna sana hapa mbele (kwenye kitumbua) panapoota nywele.
Nimepima sina fangasi, ugonjwa wa ngozi na wala sina harara.
Nikinyoa,nisiponyoa hali ni ileile.
Ila najikuna sana mpaka nasikia utamu.
Wataalamu, nikapime kipimo gani?
Kumbuka ni mwaka sasa hili tatizo lipo.
Habarini wadau.
Sijui nielezeje ila ni kwamba najikuna sana hapa mbele (kwenye kitumbua) panapoota nywele.
Nimepima sina fangasi, ugonjwa wa ngozi na wala sina harara.
Nikinyoa,nisiponyoa hali ni ileile.
Ila najikuna sana mpaka nasikia utamu.
Wataalamu, nikapime kipimo gani?
Kumbuka ni mwaka sasa hili tatizo lipo.
Na wewe una lako.
Umeenda ifurumua ilikokuwa mpaka umeipata.
Una ugonjwa unaitwa HSV (Herpes Simplex Virus), wenyewe hauonekani kwa kipimo cha VDRL, ambacho hutumika kupima magonjwa ya ngono. Unaambukizwa kwa ngono, na Kisses.
oooh good problem, I can solve it!
Sina mume, nina ATM Mashine tu.