Kitumbua cha buku

Uzi mtamu sana huu
Binafsi nimemzimikia Sana madam stellah yaani ningeoa kabisa
 
Nilianza kuisoma saa 5 usiku mpaka saa 1 asubuh nonstop.
Iko vzuri sana. [emoji91]
 
Nikikumbuka life langu la nyuma huko,
Mi na Kipanta nafkiri baba yetu mmoja😅😅😅
 
Fundisho nzuri sana kwa wastaafu wa sasa na watarajiwa juu ya matumizi sahihi ya Mafao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…