Serendipity
JF-Expert Member
- Jan 24, 2009
- 486
- 43
Wana JF naomba msaada wenu kuhusiana na matumizi ya Kitunguu swaumu (garlic).
Nafahamu kitunguu swaumu kinamanufaa mengi sana mwilini na kuna ushaidi(medical evidence)kwamba matumizi ja kitunguu swaumu yanaweza kutibu magonjwa kadhaa, mfano maumivu ya kichwa, matatizo yahusianayo na mzunguko wa damu, mafua n.k.
Kuna rafiki yangu alishauriwa kutumia kitunguu swaumu (kila siku) ili aweze kuongeza nguvu za kiume. Je kunaukweli wowote(au uwezekano) kuhusu hili?
Nafahamu kitunguu swaumu kinamanufaa mengi sana mwilini na kuna ushaidi(medical evidence)kwamba matumizi ja kitunguu swaumu yanaweza kutibu magonjwa kadhaa, mfano maumivu ya kichwa, matatizo yahusianayo na mzunguko wa damu, mafua n.k.
Kuna rafiki yangu alishauriwa kutumia kitunguu swaumu (kila siku) ili aweze kuongeza nguvu za kiume. Je kunaukweli wowote(au uwezekano) kuhusu hili?