Tunguja
JF-Expert Member
- Feb 15, 2018
- 457
- 339
Tunaambiwa juice ya huo mchanganyiko ni dawa ya kuondoa mafuta machafu mwilini na kupunguza uzito, lakini kwangu mimi imekuwa tofauti kabisa,kila nikinywa hii natokwa na mijipu mikubwa ajabu, nini tatizo? Kujeni wataalam
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app