Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,753
- 10,747
Kituo cha Daladala Bunju B tunaomba kiondolewe mahili kilipo sasa kisogezwe sehumu nyingine.
Kituo hicho kinasababisha foleni muda wote, nimepita hapo leo saa 12 asubuhi foleni ni kubwa sana imechukuwa takribani dakika 10 kupita hapo.
Pia wafanyabiashara wameingia mpaka eneo la barabara hali inayosababisha foleni kwani inalazimika daladala kushusha na kupakia barabarani.
Nafikiri mamlaka husika zifanye kazi zake.
Kituo hicho kinasababisha foleni muda wote, nimepita hapo leo saa 12 asubuhi foleni ni kubwa sana imechukuwa takribani dakika 10 kupita hapo.
Pia wafanyabiashara wameingia mpaka eneo la barabara hali inayosababisha foleni kwani inalazimika daladala kushusha na kupakia barabarani.
Nafikiri mamlaka husika zifanye kazi zake.