Kituo cha kutibu ndoa na mahusiano.

labda ila sidhani,nafikiri ni kuongeza matatizo yasiyo ya lazma tu,ila nimeipenda sana signature yako,sijui uliwaza nini
 
labda ila sidhani,nafikiri ni kuongeza matatizo yasiyo ya lazma tu,ila nimeipenda sana signature yako,sijui uliwaza nini

kitu cha msingi shosti you need to love being married. Omba mungu akupe mwenza mzuri na nakuhakikisha wapo. Ndoa njema hunenepesha, huleta smile ya ajabu na siyo kweli kqwamab kuolewa huleta matatizo nafikiri tatizo ni kuwa watu wengi wamejingiaz kwa sababu ya tamaa ya mapenzi na si ukweli kwamba walichaguana kama mume na mke. Nb sikujua kuwa my avatar ni nzuri. Tahnks for your compliments.
 

unakaribishwa kaka,nzuri sana na inagusa hisia za kila mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…