Kituo cha kuuliza maswali ya kifala, na wewe uliza lako

koma kabisa umenichekesha kinoma...!!!!!hiyo list nimeisoma nikaona kweli kwenye watanzania wanne mmoja ni chizi napata jibu sasa
 
*Mwalimu wa kiswahili kaniambia "Tunga sentensi kwa kutumia neno sukari"*
*Mimi: Nilikunywa chai kwa chapati*
*Mwalimu: Sasa neno sukari limetumika wapi hapo?*
*Mimi: Ipo ndani ya chai...*


*Sijaribiwagi mimi na ujinga sitakagi*[emoji35][emoji34]
 
Mwenye thread naomba kuuliza swali !!
1. Kwann ukilala na mwanamke mpka asubuhi anapata mimba ila sio ujauzito ???
2.naomba kuuliza kwaito kimakonde inachezwaje ??
3.nitumie njia gani ili nipige selfie na simba pale mikumi ??
4.eti kwann m2 akilala uchi anaota ndoto za kutisha
5.kwann nyumba ikijengwa wanaanzia chin ?? Kwann wasianzie kujenga kwanza kwenye bati then washuke chini halaf hatua ya mwisho iwe kujenga msingi ??
6. Kwann timu yangu ikishinda huwa si shangiliii..
7.eti kuoga bila sabun inaondoa nuksi ??
8.eti ni kweli hainaga ushemeji tunakulaga
9.Eti ni kweli Alikiba na diamond ni ndugu ??
10. Eti bill gate ni mgogo.. Na atahamia dodoma kuifuata serikali ???
Naomben majibu
 
Hii haina tofauti na ile thread ya maswali ya kijinga na majibu ya kuudhi
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Swali; sirikali inahamia dom na lile li ikulusi la magogoni itakuaje!??

Jibu: Litasafirishwa Na Pangaboi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…