AmKATRINA
JF-Expert Member
- Jul 27, 2012
- 882
- 2,044
Asante kwa kuniita
Ila sina idea kabisa na biashara hii.
Hivo naona ni kama nitazika tu pesa zangu.
Asante
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa kuniita
Okay poaAsante kwa kuniita
Ila sina idea kabisa na biashara hii.
Hivo naona ni kama nitazika tu pesa zangu.
Asante
Sawa.Okay poa
🤝Sawa.
Asante
A humble man, unfortunately with a crook wife and relatives!Kumbe ni mali ya Bruno? Aliwekeza pia kwenye Engen.
Mimi nilijua vituo vyote vya Oilcom anamiliki yule mwarabu aliyegombana na Ubalozi wa USA(TZ) kutaka kujenga Filling Station pale jirani yao na kumlazimisha kuacha kisha akaweka Super market baadae akawapangisha Zantel(Yas).Maskini Bruno, ndugu zake wamemfilisi hadi kukodisha kituo chake! Dunia siyo fair
Wanawake asilimia kubwa wana uharibifu mkubwa sana ndani yaoA humble man, unfortunately with a crook wife and relatives!
Wao husupply mafuta tu kWa mkopo, na hiyo ndiyo ilimfilisi Bruno maana alipokuwa matibabu, walikuwa hawalipiMimi nilijua vituo vyote vya Oilcom anamiliki yule mwarabu aliyegombana na Ubalozi wa USA(TZ) kutaka kujenga Filling Station pale jirani yao na kumlazimisha kuacha kisha akaweka Super market baadae akawapangisha Zantel(Yas).
Namaanisha million nane 8M
Ndugu jau sana aiseee.Wao husupply mafuta tu kWa mkopo, na hiyo ndiyo ilimfilisi Bruno maana alipokuwa matibabu, walikuwa hawalipi
Upo sahihiHalafu kodi na mazagazaga mengine unalipa mwenyewe bila shaka.