Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Kenya kunaweza kuibuka machafuko mengine kutokana na miili ya watu kuokotwa kila sehemu huku sehemu Mukuru ikionesha kuwa na idadi kubwa ya maiti zilizofungwa kwenye viroba kwa wingi vikiwa kwenye bonde ambalo sio mbali na kituo cha polisi.
Maeneo mukuru yapo karibu na bonde ambalo ndio sehemu kubwa ya kutupa uchafu na tokea kugundulika tokea jana na leo tarehe 13, wananchi wenye jaziba husasani wa GEN-Z wanaona ijatosha ata kujiuzuru kwa IGP wao bado sio kigezo kwa ruto kujisafisha.
Picha zinatisha.
Soma ==>> Vijana walioandamana (Gen Z) wakutwa wametupwa kwenye viroba wakiwa wameuawa kwa kuchinjwa kama nyama
Maeneo mukuru yapo karibu na bonde ambalo ndio sehemu kubwa ya kutupa uchafu na tokea kugundulika tokea jana na leo tarehe 13, wananchi wenye jaziba husasani wa GEN-Z wanaona ijatosha ata kujiuzuru kwa IGP wao bado sio kigezo kwa ruto kujisafisha.
Picha zinatisha.
Soma ==>> Vijana walioandamana (Gen Z) wakutwa wametupwa kwenye viroba wakiwa wameuawa kwa kuchinjwa kama nyama