Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu hawajakemea ubaguzi wa jinsia, ukanda, na udini unaifanywa na Lissu na Heche

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu hawajakemea ubaguzi wa jinsia, ukanda, na udini unaifanywa na Lissu na Heche

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Hiki kituo ni kama extension ya chama cha chadema. Chadema wanapofanya ukukwaji wa haki za binadamu kwa kudharau jinsia ya kike, kudharau wazanzibari na waislamu. Hawa jamaa hawasemi neno. Mabingwa na kufanya hivyo ni Lissu na Heche.

Nadhani sasa Tume ya uchaguzi na ofisi ya msajili wa vyama vya siasa vitunge kanuni za ulinzi wa haki za kijinsia, hata kama nibkwa dharura, kuzuia ubaguzi wa kijinsia, kikanda, kikabila na kidini.

Mgombea atakayebainika kufanya hivyo katika kampeni zake au mikutano ya kisiasa, afungiwe kugombea nafasi yoyote ile kwa miaka mitano au hata maisha. Hii itakomesha ushenzi unaofanywa na Hawa jamaa.
 
Hao wanazo kadi za uanachama CCM wakisubiri teuzi, usitegemee jema toka kwao.
 
Ingelikuwa aliyotamka John Heche yametamkwa na Kiongozi wa CCM ungeviona hivyo vigagula vinatoa povu kama mvua ya masika!
 
Hadi Mwabukusi kakemea ila wao wamejikausha.

Wanasubiria kina Maria watekemea.
 
Mbona wenyewe wanajiita "sisi wazanzibari" na "sisi wanawake"? Inakuwaje wakiitwa hivyo mnasema ubaguzi?
 
Back
Top Bottom