Unamaana super brand ilinywea kabisa!
Unazingua kwa habar gan walizonazo?Superbrand kwa sasa hapa bongo ni UTV tu hiyo ITV ilikua zaman bana miaka ya 2004 nikiwa mdogo ITV ilikua ikigoma nlikua nakosa raha na muda mwngne ilibidi nipande juu ya bati kurekebisha antenna kwa kujifichaficha wazee wasinione enzi hizo hapo sina hata miaka 9.
Enzi hizo nyumban kwenu kama mna TV ambayo haishiki ITV hiyo TV inakua ni sawa na radio iliyochangamka tu
UTV wako poa sana..Azam wanajitahidi sana..Superbrand kwa sasa hapa bongo ni UTV tu hiyo ITV ilikua zaman bana miaka ya 2004 nikiwa mdogo ITV ilikua ikigoma nlikua nakosa raha na muda mwngne ilibidi nipande juu ya bati kurekebisha antenna kwa kujifichaficha wazee wasinione enzi hizo hapo sina hata miaka 9.
Enzi hizo nyumban kwenu kama mna TV ambayo haishiki ITV hiyo TV inakua ni sawa na radio iliyochangamka tu
Wakuu,
Nayasema haya, siyo kwa upendeleo bali ni ukweli mtupu hata ninyi mnaweza kuwa mashuhuda jinsi ITV inavyoripoti kutoka Mahakamani kwenye kesi ya Mheshimiwa Mbowe na wenzake.
Kwenye taarifa zake za habari, ITV huweka wazi taarifa na mambo mbalimbali bila woga wala upendeleo.
Hii imefanya brand ya ITV kuendelea kuwa imara, ya kuaminika katika utoaji wa taarifa zake.
UTV wako poa sana..Azam wanajitahidi sana..
ITV wananiachaga tu hoi na habari zao za michezo..yaani mara mashindano ya bao,kuvuta kamba..yaani
JPM aliichukia tasnia nzima ya habari kwa sababu ya ITV.Wakuu,
Nayasema haya, siyo kwa upendeleo bali ni ukweli mtupu hata ninyi mnaweza kuwa mashuhuda jinsi ITV inavyoripoti kutoka Mahakamani kwenye kesi ya Mheshimiwa Mbowe na wenzake.
Kwenye taarifa zake za habari, ITV huweka wazi taarifa na mambo mbalimbali bila woga wala upendeleo.
Hii imefanya brand ya ITV kuendelea kuwa imara, ya kuaminika katika utoaji wa taarifa zake.
Kwenye michezo mpaka sasa star tv wako juu wanajua sanaUTV wako poa sana..Azam wanajitahidi sana..
ITV wananiachaga tu hoi na habari zao za michezo..yaani mara mashindano ya bao,kuvuta kamba..yaani
JPM aliichukia tasnia nzima ya habari kwa sababu ya ITV.
Mkuu ebu achana na ilo neno enzi hizo bas uone ata aibu,Superbrand kwa sasa hapa bongo ni UTV tu hiyo ITV ilikua zaman bana miaka ya 2004 nikiwa mdogo ITV ilikua ikigoma nlikua nakosa raha na muda mwngne ilibidi nipande juu ya bati kurekebisha antenna kwa kujifichaficha wazee wasinione enzi hizo hapo sina hata miaka 9.
Enzi hizo nyumban kwenu kama mna TV ambayo haishiki ITV hiyo TV inakua ni sawa na radio iliyochangamka tu
[emoji23][emoji23][emoji23] mi naona longtime kinyama yanMkuu ebu achana na ilo neno enzi hizo bas uone ata aibu,
Unatuambia enz izo kama unazungumzia miaka ya 80
Kituko moyoni na research fupi tuliyo fanya na mabaharia wenzangu.Wakuu,
Nayasema haya, siyo kwa upendeleo bali ni ukweli mtupu hata ninyi mnaweza kuwa mashuhuda jinsi ITV inavyoripoti kutoka Mahakamani kwenye kesi ya Mheshimiwa Mbowe na wenzake.
Kwenye taarifa zake za habari, ITV huweka wazi taarifa na mambo mbalimbali bila woga wala upendeleo.
Hii imefanya brand ya ITV kuendelea kuwa imara, ya kuaminika katika utoaji wa taarifa zake.