Kituo cha television ITV Tanzania, kweli ni Super Brand

Kituo cha television ITV Tanzania, kweli ni Super Brand

Superbrand kwa sasa hapa bongo ni UTV tu hiyo ITV ilikua zaman bana miaka ya 2004 nikiwa mdogo ITV ilikua ikigoma nlikua nakosa raha na muda mwngne ilibidi nipande juu ya bati kurekebisha antenna kwa kujifichaficha wazee wasinione enzi hizo hapo sina hata miaka 9.

Enzi hizo nyumban kwenu kama mna TV ambayo haishiki ITV hiyo TV inakua ni sawa na radio iliyochangamka tu
Kweli kabisa mkuu wakati ule na hata Sasa watu walijua TV zote ni ITV
 
Wakuu,

Nayasema haya, siyo kwa upendeleo bali ni ukweli mtupu hata ninyi mnaweza kuwa mashuhuda jinsi ITV inavyoripoti kutoka Mahakamani kwenye kesi ya Mheshimiwa Mbowe na wenzake.

Kwenye taarifa zake za habari, ITV huweka wazi taarifa na mambo mbalimbali bila woga wala upendeleo.

Hii imefanya brand ya ITV kuendelea kuwa imara, ya kuaminika katika utoaji wa taarifa zake.
Umewashitaki, sasa subiri wapokee vikwazo vya uhujumu uchumi na ugaidi.
 
UTV wako poa sana..Azam wanajitahidi sana..

ITV wananiachaga tu hoi na habari zao za michezo..yaani mara mashindano ya bao,kuvuta kamba..yaani
Ndio michezo yetu mzee baba 😂😂😂
Nalog off
 
ITV baada isidingo kuisha nimebaki natazama tu meza huru,,na mizengwe Basi....huo usupa burandi Mimi siuoni kabisaa
 
Superbrand kwa sasa hapa bongo ni UTV tu hiyo ITV ilikua zaman bana miaka ya 2004 nikiwa mdogo ITV ilikua ikigoma nlikua nakosa raha na muda mwngne ilibidi nipande juu ya bati kurekebisha antenna kwa kujifichaficha wazee wasinione enzi hizo hapo sina hata miaka 9.

Enzi hizo nyumban kwenu kama mna TV ambayo haishiki ITV hiyo TV inakua ni sawa na radio iliyochangamka tu
Hata Mimi siangaliagi habari za uchafuuchafu huko ITV Mimi naangaliaga UTV huko ndio superbrand hatari
 
Back
Top Bottom