Kweli kabisa mkuu wakati ule na hata Sasa watu walijua TV zote ni ITVSuperbrand kwa sasa hapa bongo ni UTV tu hiyo ITV ilikua zaman bana miaka ya 2004 nikiwa mdogo ITV ilikua ikigoma nlikua nakosa raha na muda mwngne ilibidi nipande juu ya bati kurekebisha antenna kwa kujifichaficha wazee wasinione enzi hizo hapo sina hata miaka 9.
Enzi hizo nyumban kwenu kama mna TV ambayo haishiki ITV hiyo TV inakua ni sawa na radio iliyochangamka tu
Umewashitaki, sasa subiri wapokee vikwazo vya uhujumu uchumi na ugaidi.Wakuu,
Nayasema haya, siyo kwa upendeleo bali ni ukweli mtupu hata ninyi mnaweza kuwa mashuhuda jinsi ITV inavyoripoti kutoka Mahakamani kwenye kesi ya Mheshimiwa Mbowe na wenzake.
Kwenye taarifa zake za habari, ITV huweka wazi taarifa na mambo mbalimbali bila woga wala upendeleo.
Hii imefanya brand ya ITV kuendelea kuwa imara, ya kuaminika katika utoaji wa taarifa zake.
Kwa hili biti lazima ujinyee, ndio maana ruge na mengi wakajifia, aah kumbe na mtoa biti alishajifia
Ndio michezo yetu mzee baba πππUTV wako poa sana..Azam wanajitahidi sana..
ITV wananiachaga tu hoi na habari zao za michezo..yaani mara mashindano ya bao,kuvuta kamba..yaani
Hata Mimi siangaliagi habari za uchafuuchafu huko ITV Mimi naangaliaga UTV huko ndio superbrand hatariSuperbrand kwa sasa hapa bongo ni UTV tu hiyo ITV ilikua zaman bana miaka ya 2004 nikiwa mdogo ITV ilikua ikigoma nlikua nakosa raha na muda mwngne ilibidi nipande juu ya bati kurekebisha antenna kwa kujifichaficha wazee wasinione enzi hizo hapo sina hata miaka 9.
Enzi hizo nyumban kwenu kama mna TV ambayo haishiki ITV hiyo TV inakua ni sawa na radio iliyochangamka tu