Kituo kikuu cha media cha Michezo ya Olimpiki ya Majira ya baridi ya Walemavu chafunguliwa rasmi Februari 28

ldleo

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2010
Posts
1,116
Reaction score
1,121


Februari 28, 2022, kituo kikuu cha wanahabari cha Michezo ya Olimpiki ya Majira ya baridi ya Walemavu ya Beijing kilianza kazi rasmi baada ya kukamilisha mabadiliko kutoka Michezo ya Olimpiki ya Majira ya baridi.
Takriban vyombo vya habari vya uchapishaji na watangazaji 3,300 kutoka sehemu mbalimbali duniani watashiriki katika kazi ya kuripoti na kutangaza michezo hiyo.
Kituo hicho kitafunguliwa kwa vyombo vya habari kuanzia saa moja asubuhi hadi saa sita usiku kila siku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…